Habari za kushinda wana jf,

Habari za kushinda wana jf,

Napenda kujipongeza kwa kulala kwa amani leo kupita siku zote. Tuna ulinzi wa maana sana.
Umelala akati unaperuzi.....
Lahaula lakwata......

Hii nchi ina utulivu, lakini amani haipo aisee.....

Sijaona ulinzi, ilhali mauwaji na utekaji ukitamalaki wallah.....
 
mmemlipa mlinzi leo lile deni la miaka yote ndo maana leo ulinzi umeimarika ama inakuaje?
Leo mweshimiwa yuko karibu na sisi, mtaa fulani hivi, unaitwa nyahanga. Hakuna kukatiza nzi yeyote. Tunamshukuru Mungu kwa Neema leo. Kwa taarifa tu, mtaa wetu una panya rood nyingi mno.
 
Napenda kujipongeza kwa kulala kwa amani leo kupita siku zote. Tuna ulinzi wa maana sana.
Mguuuu pandee,,,tanuaaaa miguu,,,,achiaaaa papuchiiii,,,,kataaaaa kiunoooo,,,,ukikataaa utaliwaaaa backward
 
Back
Top Bottom