Habari njema kwa wapiga nyeto! Utafiti mpya wa Chuo cha Oxford wabainisha umuhimu wa nyeto

Habari njema kwa wapiga nyeto! Utafiti mpya wa Chuo cha Oxford wabainisha umuhimu wa nyeto

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
8,102
Reaction score
23,668
Hatimaye watia nyeto wote duniani wamepata utetezi wa kisayansi.

Utafiti huu mpya umebaini kuwa kadiri mbegu zikihifadhiwa kwa muda mrefu pasipo kumwagwa ndivyo ubora wake unavyopungua.

Dr Rebecca Dean (Dept of Biology, University of Oxford) kiongozi wa jopo la utafiti huo alisema: "kumwaga mbegu (shahawa) kwa ukawaida" iwe ni kwa nyeto au kulomba ni sawa na kuziondoa mbegu zilizopoteza ubora na kuruhusu mfumo wa uzazi kutengeneza mbegu mpya.

Wanetu wa NO FAP CHALLENGE mmeisikia hiyo nyie endeleeni kujaza mabao dhaifu kwenye korodani.

The longer sperm are stored the lower their quality. Tia nyeto flush kichupa dumisha ubora wa mbegu zako
 
Acheni kujipa false hope.

Masturbation inaua "MANHOOD FEELING".

Yani inawafanya wanaume wawe weak internally in every aspect.

Yani mwanaume anayepigaga nyeto hata kujiamini kunapungua kwa asilimia kubwa.
Ile guilt nadhani huja kutokana na athari za mafundisho aliyoyapata huyo mtu kuwa katika maisha yake yote jamii imemfunza kuwa masturbation ni taboo.

Na hii guilt unaweza kuipata pia baada ya kufanya unprotected sex, ukisha ejaculate tu utaanza kujutia kwanini ulifanya bila kinga.
 
Ile guilt nadhani huja kutokana na athari za mafundisho aliyoyapata huyo mtu kuwa katika maisha yake yote jamii imemfunza kuwa masturbation ni taboo.

Na hii guilt unaweza kuipata pia baada ya kufanya unprotected sex, ukisha ejaculate tu utaanza kujutia kwanini ulifanya bila kinga.
Hata ukitazama porno ukatia nyeto au ukimaliza kucheat ukimmwaga mgiriki tu ni mwendo wa kujutia
 
Back
Top Bottom