Habari kwenu mafundi ujenzi

Habari kwenu mafundi ujenzi

kaburu mdogo

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
567
Reaction score
400
Nina mtaji wa milioni 15 pamoja na kiwanja cha 40 × 40 nahitaji mtu anijengee nyumba yeye sifa zifuatao,
Vyumba vitatu pamoja na master moja
jiko
public toilet
store
dining.
Hakikisha nyumba inakamilika kila kitu
Kama upo tayari ni pm tafadhali kwa maelezo tayari
 
Mcheki huyu jamaa ni fundi wa ukweli utaongea nae mwenyew0712428137 nna imani anaweza
 
Huyu atapigwa hizo sent zake,.mil15 nyumba ya vyumba 3 kweli na iishe full.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom