Jivute vute mpaka 6.5 biashara ifanyike uko chini sana we mwenyewe si unaiona hiyo gari bado iko vizuri sana tena sana!!!
Kula 4.5 any time pm me.
sio kweli 14000 na sasa ni 1900 nooo...hio gari mpya kabisa na kwa gari zote zinazokwenda bongo ni either recondition au used...ukisema 140000 na sasa ni 190000..nitakubali !!!Ilipokuja Tanzania ilikuwa na km 14000 na sasa imefika km 19000