Mchokoo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2015
- 1,179
- 1,579
Lakini ukisema mimi ni mtumishi wa Bwana sitaiba kura! Tena, ni mchungaji sitawafitini kondoo.
Na zaidi nina hofu ya Mungu sitaendekeza uroho wangu wa vyeo!
Kwa hiyo nitakuwa mwaminifu mpaka kufa hata kama wanakawe wanikatae!
Ikiwa utashikilia msimamo huu huwezi kurudi Ramothi-giliadi ulikoshukia! Pasipo kuzingatia udhaifu ulipokuwa shambani mwake; Kawe inaenda kuhitimisha shughuri hiyo!
Na ujue roho za manabii huwatii manabii.
Basi Bwana akulegeze moyo ili uyakumbatie ya mbinguni na kuyakataa ya dunia.
Vinginevyo kwa vile una tamaa ya Gehazi ukoma wa Naamani hautaondoka kwenye huduma yako!
Na zaidi nina hofu ya Mungu sitaendekeza uroho wangu wa vyeo!
Kwa hiyo nitakuwa mwaminifu mpaka kufa hata kama wanakawe wanikatae!
Ikiwa utashikilia msimamo huu huwezi kurudi Ramothi-giliadi ulikoshukia! Pasipo kuzingatia udhaifu ulipokuwa shambani mwake; Kawe inaenda kuhitimisha shughuri hiyo!
Na ujue roho za manabii huwatii manabii.
Basi Bwana akulegeze moyo ili uyakumbatie ya mbinguni na kuyakataa ya dunia.
Vinginevyo kwa vile una tamaa ya Gehazi ukoma wa Naamani hautaondoka kwenye huduma yako!