Ndama Jeuri
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 1,503
- 1,473
Akisifia ujinga wa bashit mtamwita OG pastor, Gwajima leta mambo.All this has been said by Fake Pastor?
Unamaanisha anaanza kula kete za gwajima?.Bashite kaingia kingi.
Kwahiyo sasa nani anapoteza au anapata zaidi kwenye hili igizo? Au unadhani mkuu wa vijana wa makumbusho ndo anafaidi peke yake? Sadaka anayopiga Gwajima unaionaje?
Mubashara! ngoja tumuulize Bashite safari hii atalia na kumwaga chozi katika Kanisa lipiAskofu wa Kanisa la Ufufuo na uzima atakuwa live Jumapili hii kuzungumzia mambo kadhaa baada ya kuwa alitajwa jina lake kwenye mazungumzo ambayo yalifanyikwa katika kituo cha Star Tv akihojiwa ndugu aliyeajiriwa kazini kama mkuu wa mkoa kwa jina la paulo makonda.
Askofu huyo wa kanisa tajwa pale juu amesema kuwa kuna mambo kadhaa ambayo anahitaj kuyafafanua kuhusiana na jambo hilo. kwa kipindi kirefu sana the Dragon was at ease au katika usingizi na sasa wamekuja watu na kumdokoa au kwa kimombo to poke him
1. amesema atafafanua aliyosema bashite
2. ataelezea uraia wa mmiliki wa kituo cha tv alichotumia huyo bashite siku ya jumatatu
3.ataelezea ukwepaji wake kodi
4.vyeti vya watangazaji wake na mishahara yao yote ataweka hadharani
Msikose siku ya Jumapili kuliona Dude likiwa limeamshwa na kuanza kutema moto
Tye tye tye tyeeeee!Duh tunarudi hewani tena ngoja ni nunuwe battery mpya ya simu niweze kufuatilia mtanange live!!!
Hata Babu wa Loliondo si alipata hela na zingine akagawa kwa Kanisa la Hayati Askof Laiser?
Kikombe Tsh 500/=
Babu yake Tsh 300/=
Kanisa Yao Tsh 200/=
SawaUnamaanisha anaanza kula kete za gwajima?.
DNAHapo hamna kesi !! Mama huyo ajitokeze na mtoto then Gwajima akamatwe mtoto baba uake wapelekwe kwa mkemia Mkuu for DNA analysis!!! Simpooooooo!!!
Hivi huyu Gwajima kazi yake hasa ni ipi? Naona amekalia umbeaumbea tu, yeye badala ya kuhubiri neno la MUNGU amekalia kusikiliza watu wanasema nini ili apate kick ya sadaka kanisani kwake. Askofu gani kutwa kurushiana mipashi tu, si akaimbe taarab basi tujue moja, na hao waumini wake naona kichwani ni bure kabisa, hivi kwa akili zao kweli unaambiwa leo naenda kuzungumzia aliyoyasema bashite badala ya habari za Yesu, na nyinyi mnaenda, hivi mko sawa, something wrong upstairs.
Hivi huyu Gwajima kazi yake hasa ni ipi? Naona amekalia umbeaumbea tu, yeye badala ya kuhubiri neno la MUNGU amekalia kusikiliza watu wanasema nini ili apate kick ya sadaka kanisani kwake. Askofu gani kutwa kurushiana mipashi tu, si akaimbe taarab basi tujue moja, na hao waumini wake naona kichwani ni bure kabisa, hivi kwa akili zao kweli unaambiwa leo naenda kuzungumzia aliyoyasema bashite badala ya habari za Yesu, na nyinyi mnaenda, hivi mko sawa, something wrong upstairs.
Kosa la wote na ni wapuuzi, wewe mtoa sadaka umeambiwa leo tunahubiri habari za bashite na sio za Yesu alafu unaenda kutoa sadaka, na wewe askofu Gwajima unasema kabisa leo nahubiri neno la bashite na sio la Yesu halafu unachukua sadaka kwa jina la bashite na sio la Yesu, huu ni wizi na kumdhalilisha Yesu.Kama Umbea unaleta Sadaka nyingi kuliko Mahubiri ya Yesu, hapo wa kulaumiwa ni Mpokea Sadaka au Mtoa Sadaka?
Ubepari maana yake ni Ukusanyaji wa Mali bila ya kujali Njia ipi inatumika kukusanya Utajiri huo