mirror01
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 1,738
- 1,303
Kweri kabisa amechanganya jamii kishenzi mara akasema yeye ni Yesu anamrudisha Chifupa,mara cheo chake cha kiroho ni zaidi na cheo cha Magufuli mara ataleta tren and reli kwa keshi mwisho akawa porn star yani sheeeedaa!!!!Yule mwambie a-focus kwenye miguno, siasa zinahitaji sera na hoja kutoka kwa mtu aliyejijengea uaminifu kwa mabosi wake (wapiga kura)
Kaisha zingua, kanisani aliahidi kuzindua treni wiki kesho siku aliyokua akihubiri mbele ya waumini na hakutekeleza, alikiri mbele ya waumini kua siasa kwake haina msaada wowte na hawezi kuhangaika na ubunge maana ana pesa nyingi kulipo malipo anayolipwa Mbunge.
Kwa kuwadharau kabisa akaamua afanye uasherati kwa kujirekodi, yani bora hata angerekodiwa pobably tungeweza ku-assume kua he has been tricked lakini tunamuona yeye ndiye ana set kamera, halafu anatuletea utetezi wa kidwanzi eti ni mkono wa baunsa. Kama kajikataa yeye kwenye ile clip huyu di atawakataa hadi wananchi wake akiwa bungeni?