Graveyard kinondoni Imejaa.

Makaburi mengi yamejaa kwa sasa. Maana tangu enzi na enzi, watu wanazikwa kila siku, tangu niwe na akili ya kufuatilia misiba mpaka sasa ni mtu mzima, nashangazwa kujua bado mazishi yanafanyika katika maeneo niliyoyajua tangu utoto wangu.
Hata mie huwa najiuliza sana how comes maeneo ya kuzikia tena dar huwa hayajai. Tango utotoni mpk leo mtu mzima bado maelrehemu wanaendelea kuzikwa. Reference Makaburi ya Chang'ombe-Temeke Dsm..
 
Mh RC ajitahidi kama alivyotenga maeneo ya showroom za magari basi hata pale mawasiliano kwa nyuma wajenge graveyard na maeneo mengine. Graveyard zetu ziwe safi na nzuri kama za World war veterans.
 
Makaburi hayajai.
 
Maiti ikishazikwa kule ardhini inaliwa na wadudu tu.

Kwahiyo makaburi hayawezi kujaa!

Serikali ipige marufuku kujengea makaburi kwani ni ujinga tu.
Kwahiyo duniani kote wanaojengea ni wajinga mkuu?
 
Kama yamejaa muende mkazikwe vijini kwenu ata kwa miaka ya baadae muwe mnaenda hija vijini na ndio itakuwa mwanzo wa maendeleo ya vijini, kwani mtajenga nyumba nzuri ambazo mtakuwa mnafikia.vizazi vyenu havitapoteza uhalisia wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…