Grano Caffe Vs UDASA Club

Kuweka mgahawa wa kisasa pale ni hasara, nani atanunua kahawa kwa TZS 5,000 hadi 10,000 kwa kikombe wakati pembeni kuna chai ya TZS 200 na vitumua vya TZS200, pale Granno kachumbali pekee inaanzia TZS 15,000 wakati hilo sosi la kwenye picha UDASA ni TZS 2,500/=
 
PhD zimejaa pale Ila usafi wa Choo tu ni ishu
 
Silver sands Hotel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…