macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,241
- 56,890
Ina maana kuwa unaweza kununulia simu ambayo ipo mbali muda wa internet? Kwa mfano simu ipo Temeke na iko ON na wewe uko Kimara. Je unaweza kuongeza muda wa internet? Nauliza kwa sababu huwa situmii service ya pre-paid hivyo sio nguli wa haya mambo!Unaongeza kama uwekavo kwenye cm vocha
Kwenye maonyesho ya sabasaba mwaka huu niliona kwenye banda la VETA wakiweka hizo track kwa bodaboda, watafute utafanikiwa.Habari zenu wakuu,
Mimi ni mmiliki wa bajaj 4, nahitaji kujua kampuni ambayo inajihusisha na kutoa huduma ya kufunga GPS kwenye bajaj, nalazimika kufanya hivi kutokana na wizi uliokidhiri wa vyombo hivi.
Kwa wenye taarifa na bei za kampuni inayohusika na huduma hii anifahamishe tafadhali.
Ili aweze kuta-track kwa kutumia simu si ni lazima simu iwe na internet connection muda wote? Sasa kama mwizi akiiba hiyo bajaji na muda wa internet ukiisha utaongezaje? Au unaweza kuongeza remotlly?
Ahsante ndugu, nimewasiliana nao gharama zao kwa mwezi ni sh. 50,000 ambayo kwangu ni gharama kubwaNenda kinondoni morroco kaulizie ofisi za car track ila wao kila mwezi unalipia sina uhakika na bei ilikuwa 25elfu Kwa mwezi,au nenda sido dar kipawa kaulizie nasikia kuna ofisi inafungia wa bodaboda watakufungia
Asante kwa ushauri mzuriAmini hichi nilichowaambia ni gharama nafuu kuliko mtu akufungie, kwanza ufungaji wake ni rahisi tu, pia unachagua wewe ni GPS ya aina gani inafaa kwa mahitaji yako kwa kuna aina nyingi sana na bidhaa zetu nyingi za hapa wanaagiza vitu cheap, sisi tunaagiza mzigo kila wiki, sio GPS ni vitu vingine kabisa ila ni device zinazofanana na hizo vitu, gharama iko chini kama unaagiza mzigo mkubwa, mfano kama ungekuwa unaagiza kwa ajili ya biashara ingekulipa vizuri, mimi siwezi kukusaidia ila naamini wapo watu humu muda si mrefu watakuja na mawazo mazuri zaidi ya haya...mkuu ukifanikiwa agiza za pikipiki za kawaida utapiga hela.
GPS au Global Position System, yenyewe huwa haihitaji Internet Connection, yenyewe huwa ina track kwa kutumia Satellite...kuna makampuni maalum huwa wanatoa hiyo huduma, unakwenda pale na bajaji yako wanakufungia vifaa vya kuweza ku track hiyo bajaji yako, na wanakwenda mbali zaidi kwa mfano ukitoa taarifa kwamba bajaji yako imeibiwa wanauwezo wa kuizima, isiwake na wakai track mpaka ilipo,.Hoi itasaidia hata kwa wenye boda, nisaidie jinsi ya kuagiza na zenye ubora maana wawezapata ila muda wote inataka intermet connection sasa kwa network yetu hapa nchini maeneoengi chenga
Haswaaa hili ndio hitaji langu mkuu, so unaweza kunitajia baadhi ya kampuni zinazotoa huduma hii plsGPS au Global Position System, yenyewe huwa haihitaji Internet Connection, yenyewe huwa ina track kwa kutumia Satellite...kuna makampuni maalum huwa wanatoa hiyo huduma, unakwenda pale na bajaji yako wanakufungia vifaa vya kuweza ku track hiyo bajaji yako, na wanakwenda mbali zaidi kwa mfano ukitoa taarifa kwamba bajaji yako imeibiwa wanauwezo wa kuizima, isiwake na wakai track mpaka ilipo,.
Kwa nini siyo hapa kwenye Uzi huu ili uunufaishe na wengine... Hiyo 50,000 ni kwa mwezi au ndio malipo ya jumlaNitafute inbox gharama ni 50,000 tu
www.powertrack.co.tz ingia hapo mkuu, utapata kila kitu unachokitaka..Haswaaa hili ndio hitaji langu mkuu, so unaweza kunitajia baadhi ya kampuni zinazotoa huduma hii pls
Au piga No 0714890018Haswaaa hili ndio hitaji langu mkuu, so unaweza kunitajia baadhi ya kampuni zinazotoa huduma hii pls
Hio track r ni nzuri vipi taipataje hapa bongo na inafanyaje kazi
Kwa nini siyo hapa kwenye Uzi huu ili uunufaishe na wengine... Hiyo 50,000 ni kwa mwezi au ndio malipo ya jumla
Ni kakifaa kadogo tu kama kifuniko cha chupa ya maji ya uhai au saa ya mkononi.GPS device si inahitaji utaalamu kufunga ndugu au mtu yoyote anaweza kufunga? Je kuagiza toka China gharama zake ni kiasi ghani?
Tunaweza kupataje tuliopo mikoani?Ni kakifaa kadogo tu kama kifuniko cha chupa ya maji ya uhai au saa ya mkononi.
Namna ya kupata sijajua maana hata kwa Dar sidhani kama zinapatikana kirahisi.Tunaweza kupataje tuliopo mikoani?
Itakuwa sawa na kuliwa kuku na mayai yake.Ili aweze kuta-track kwa kutumia simu si ni lazima simu iwe na internet connection muda wote? Sasa kama mwizi akiiba hiyo bajaji na muda wa internet ukiisha utaongezaje? Au unaweza kuongeza remotlly?
Kwenye hiyo track R kuna mushkeli kidogo kwenye umbali. Au nimekosea mimi.
Mkuu hebu elezea tunapataje hiyo huduma hata mimi nataka kufunga kwenye vyombo vyangu vya usafiriUkidhani unachofikiri uko peke ako Sahau. Mi nilitaka kuintroduce trackr sticker ambayo kuna manajamii kaitaja. Ndio mambo ya fursa
Nina supply Trackr Bravo, Trackr stickers etc. Ukishanunua kwa 50,000 hakuna malipo ya ziada. Unaweza kuunganisha kwenye school bag ya mwanao ukajua wapi alipo. Baiskeli, bajaj, funguo nk
nicheki nikufungie hizo system 0714890018, www. isecure. co. tzHabari zenu wakuu,
Mimi ni mmiliki wa bajaj 4, nahitaji kujua kampuni ambayo inajihusisha na kutoa huduma ya kufunga GPS kwenye bajaj, nalazimika kufanya hivi kutokana na wizi uliokidhiri wa vyombo hivi.
Kwa wenye taarifa na bei za kampuni inayohusika na huduma hii anifahamishe tafadhali.