Usipende sana kuita watu Chemba, unapoteza imani ya wateja kwako. Au kuna mengine ni ya Siri hutaki wengine wajue?chini ya saa 1, cheki pm
Kuna installation charges?😃😃😃😃 ni kupata location yake yuko wapi, otherwise kila kitu kipo open juu hapo !
Kuna installation charges?
Na kama hakuna gharama za kila mwezi, je kuna gharama za bando au data?
Karibu mkuuIpo vizuri ntakutafuta mkuu..... Na ikitokea imeibiwa mfano..... Tutakuwa wote ktk kuitrack ama ndo ntahangaika pekeangu
Kila tracker ina unique ID kwenye hii format IGEHBxxxxxxxNatambua settings zote zitafanyika kupitia siku yangu. Iwapo nitatekwa pengine kuuawa na gari likachukuliwa na hao watekaji wakaharibu simu yangu ili kupoteza ushahidi, taarifa juu ya mahala lilipo gari kwa wakati huo zitapatikana vipi kwa watakaokuwa wanafatilia hilo tukio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini hii haina ile option ya kuzima gari ukiwa mbali??Kila tracker ina unique ID kwenye hii format IGEHBxxxxxxx
Acivities (settings) zote zinazofanywa na tracker zinakua 'logged/synced' kwenye 'database' yangu
Kila kitu: Locations, history, setting za geofence
Hata wakiaribu simu yako, bado logs zote mimi ninazo (kwenye database) , na kama utainstall tena hii App kwa simu nyingine, then ukaweka user ID yako , kila kitu kitaonekana pale
Sijui kama nimejbu vyema