stone boy Senior Member Dec 25, 2015 107 19 Feb 12, 2016 #1 Habari zenu wana JF naomba nayefahamu anisaidie ni GPA ya ngapi inayohitaji ili mtu ajiunge na chuo kikuu. Mtu kama amemaliza diploma ya elimu. Asanteni.
Habari zenu wana JF naomba nayefahamu anisaidie ni GPA ya ngapi inayohitaji ili mtu ajiunge na chuo kikuu. Mtu kama amemaliza diploma ya elimu. Asanteni.
avi.JNR Senior Member Nov 17, 2015 139 87 Feb 12, 2016 #2 Kila chuo kina GPA yake..ila ili kupata chuo ukitakacho make sure una GPA ya kuanzia 2.7.. Ila kwa UDSM ni 3.5
Kila chuo kina GPA yake..ila ili kupata chuo ukitakacho make sure una GPA ya kuanzia 2.7.. Ila kwa UDSM ni 3.5
stone boy Senior Member Dec 25, 2015 107 19 Feb 12, 2016 Thread starter #3 Nashukru ndugu ila nasikia kuna vingine vipo chini ya 2.7 hili vipi?
avi.JNR Senior Member Nov 17, 2015 139 87 Feb 12, 2016 #4 VIPO vingi sana kama OUT na vingne vingi. Ila ukitaka kusoma chuo cha ndoto yako basi make sure una B 12 AU GPA YA 2.7 hapo utakuwa umefanikiwa kusoma chuo ukitakacho
VIPO vingi sana kama OUT na vingne vingi. Ila ukitaka kusoma chuo cha ndoto yako basi make sure una B 12 AU GPA YA 2.7 hapo utakuwa umefanikiwa kusoma chuo ukitakacho