Scholarship haziangalii sana GPA hasa kama unatafuta za kwenda nje. Tafuta admission kwanza then scholarship utapata on merit ikiwa una vigezo vingine vizuri.
Kuna vigezo hatuvipi vipaumbele ila ni vya msingi mathalani mambo kama;
1. Shughuli za kijamii
2. Vipaji vyako kama mchezaji hodari n.k
3. Maksi nyinginezo kama unaenda nje pengine utahitajika kufanya tests mbali mbali
4. Ubora wa maandiko yako
5. Etc