GPA ya 3.0 kupata scholarship

WAR

Member
Dec 16, 2016
49
36
Nawezaje kupata scholarship kwa GPA ya 3.0 kwa Masters ya public health
 
Kwa poor performance ya aina hiyo nakushauri uolewe ufipa tu
 
Nawezaje kupata scholarship kwa GPA ya 3.0

Scholarship haziangalii sana GPA hasa kama unatafuta za kwenda nje. Tafuta admission kwanza then scholarship utapata on merit ikiwa una vigezo vingine vizuri.

Kuna vigezo hatuvipi vipaumbele ila ni vya msingi mathalani mambo kama;
1. Shughuli za kijamii
2. Vipaji vyako kama mchezaji hodari n.k
3. Maksi nyinginezo kama unaenda nje pengine utahitajika kufanya tests mbali mbali
4. Ubora wa maandiko yako
5. Etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…