Good/Nice guys finish last

Nice guys sio watamu kabisa.

Naomba nisiulizwe swali lolote, nipo bize nafua.....
 
I cant be simps, niwe busy kusaka hela na bado niwe busy kuzungushana na kei. Akitoa namba kituo kifuatacho Tutoke out, akisema nakuja tutoke namtumia jina la lodge, 8 kati ya 10 wamekuja bila kusumbua. Vile vishamba vya kujibu umenichukuliaje nawaachia viongozi wa kwaya kanisani na simps waendelee kuwaperembeshea sifa
 
Ukiwa nice, afu mpo kwenye taasisi flani yenye mademu wengi, unaweza ukala wote kimya kimya.. mi kazini ni mpole sana,kakaja kademu flani kapya watu wanapambana kujishobokesha.. mara ooh mtu mpole anaboa sijui nini, jumamosi iliyopita nimekala na hajui kama mademu wote wa pale kazini nishapita nao myaki myakiπŸ˜€πŸ˜€
 
Tena kwenye kulana ndio kuwa bad boy kweli kweli, mara umemuinamisha nyama ya gari, umechapata tako mara unajidai umekosea njia unapenya rough road basi wee ni kumpelekea moto tuu ata kama kibamia kinaishia kwa mapaja
We mtu upo?
 
Kumbe kutoka out ni kwenda lodge loh, ngoja tu niendelee kuwapenda nice guys...mtoko kwao no mtoko kweli..dinner na wine taratibu. Nyege zinapanda zenyewe tu taratibu wakati wa maongezi..siku ikiisha ndo itajulikana kama tunaenda kwa bed au bye bye next time tunaendelea kuhang out. Sipendi mwanaume mwenye papara
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…