Pole zangu kwa ndugu, jamaa, marafiki na hususani mwanae alie muacha bado mdogo na mhitaji wa upendo, matunzo na malezi ya mama yake.... RIP Chetuntu........
Mkuu unataka kutuambia kuwa Shetani ndo hupanga vifo na wala si Mungu?............. Na kwanini Mungu amuache shetani apange kuteketeza viumbe vyake? Si amwangamize?...This is unfair!
Mkuu unataka kutuambia kuwa Shetani ndo hupanga vifo na wala si Mungu?............. Na kwanini Mungu amuache shetani apange kuteketeza viumbe vyake? Si amwangamize?...This is unfair!
Wewe wa wapi ? hebu usichafue hali ya hewa hapa. Afadhali hata ungesema baada ya kifo kuna maisha mengine huko mbinguni,Shetani hana mamlaka kwenye mambo ya kifo,kazi yake ni kujaribu kukupoteza njia ukiwa hai.
Babu....anyway will call you again later.....! lakini hii kitu imenigusa mnooooooo! siku ya leo haiendi kabisa! Sasa what the least we can do for her to show our sympathy babu? Bangolize her...TBC? She got a young boy, tunajua hatima ya huyo dogo? kama hatima yake iko mashakani can we do something for this boy in memory of our loved one....something small but memorable....open a junior account...put in some money for her future?