Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 46,149
- 97,841
Goma kuwa "Kivu Republic"?Kufuatia waasi wa M23 wanasapotiwq na Rwanda kuukalia mji wa Goma kimabavu je ndio mwanzo wa kuigawa DRC?
Wengi walisikia kuhusu mkataba wa lemera ambao unasemwa ndio uliwapa watusi (banyamulenge) eneo lakini baada Muzee Kabila akasema ni mkutano wa porini na yeye hana mamlaka ya kugawa nchi bila idhini ya wacongo.
Sasa Leo M23 chini ya sapoti ya majeshi ya Rwanda yanaukalia mji waa Goma na kujitangaza kuitawala na tayari wakiwa wameishateua Magavana wa kuongoza Jimbo hilo.
Kwa Rwanda na Kagame hii ni FAIDA kubwa sana kwao kijamiii na hata Ki ulinzi. Ni rahisi Sasa kuwazuia FDLR kufika Rwanda anakuwa na uhakika walau kidogo kuwapatia watu wake ardhi mpya.
Mpk sasa unasemaje ?Bukavu ikichukuliwa hilo linawezekana
Bado hujaona ?
Wapi huko MkuuEti na tz kule mwese imewapa wanyarwanda eneo kuwa lao. Hawajifunzi kwa Congo kweli? Mtutsi sio MTU mzuri
Unailewa tu hasa km umeishi hukoKuielewa Congo inahitaji Akili nyingi.
Hahahaha mdg mdgGoma kuwa "Kivu Republic"?
Republique du Kivu".
Katavi-mpanda-tanganyika(wilaya)-mwese(tarafa)Wapi huko Mkuu
Mwese ndio wapi?Eti na tz kule mwese imewapa wanyarwanda eneo kuwa lao. Hawajifunzi kwa Congo kweli? Mtutsi sio MTU mzuri
Mkuu nimekuelekeza hapo juu#14Mwese ndio wapi?
Ina maana Goma na Bukavu zitasalia chini ya M23/RDF kwa miaka mingi ijayo ?...sidhani kama itawezekana..Kufuatia waasi wa M23 wanasapotiwq na Rwanda kuukalia mji wa Goma kimabavu je ndio mwanzo wa kuigawa DRC?
Wengi walisikia kuhusu mkataba wa lemera ambao unasemwa ndio uliwapa watusi (banyamulenge) eneo lakini baada Muzee Kabila akasema ni mkutano wa porini na yeye hana mamlaka ya kugawa nchi bila idhini ya wacongo.
Sasa Leo M23 chini ya sapoti ya majeshi ya Rwanda yanaukalia mji waa Goma na kujitangaza kuitawala na tayari wakiwa wameishateua Magavana wa kuongoza Jimbo hilo.
Kwa Rwanda na Kagame hii ni FAIDA kubwa sana kwao kijamiii na hata Ki ulinzi. Ni rahisi Sasa kuwazuia FDLR kufika Rwanda anakuwa na uhakika walau kidogo kuwapatia watu wake ardhi mpya.
Ngoja tuoneIna maana Goma na Bukavu zitasalia chini ya M23/RDF kwa miaka mingi ijayo ?...sidhani kama itawezekana..
Huko Kivu Kaskazini Kuna makundi mengi yenye silaha ....je RDF itaweza kuyadhibiti yote ?Ngoja tuone
Ooh nilijua Jimbo la Tanganyika kule DRCKatavi-mpanda-tanganyika(wilaya)-mwese(tarafa)