Godoro na kitanda vinauzwa

Good Father

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2014
Posts
10,320
Reaction score
18,595
Kitanda chenye size 5*6
Mbao za mtondoo
Muundo wa box/hakina nafasi ya kuingia uvunguni.

Godoro 5*6 QFL-Dodoma
Unene ni inches 8.
Vipo Pugu kajiungeni Dar es Salaam.
Bei 300,000TZS.( kuna mazungumzo).

Vitu vimetumika kwa miezi minne tu
Sababu ya kuuza: Mwenye navyo amehama mkoa hivyo hataweza kuvisafirisha kwenda mkoa maana ni mbali sana.
Mawasiliano: PM

Karibuni serious people only



VIMEUZWA TAYARI WAKUU
 
mkuu mbona kinaonekana kama cha ft4?? mimi nipo mkoani utaweza kunitumishia?? kama ni ndiyo njoo pm tuelewane bei
 
mkuu mbona kinaonekana kama cha ft4?? mimi nipo mkoani utaweza kunitumishia?? kama ni ndiyo njoo pm tuelewane bei
Hicho ni ft 5 mkuu na simply huwezi kusema ni ft ngapi kwa kuangalia hiyo picha hapo, cha kuzingatia niamini hicho ni ft 5*6 nilikinunua mwenyewe naww ukininunua utaona ni size gani
Kukutumia mkoani siwezi labda kama una jamaa yako achukue akutumie
 
mkuu nina laki mbil nipo dar... kama upo tayar sema nikupatie
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…