Kitanda chenye size 5*6
Mbao za mtondoo
Muundo wa box/hakina nafasi ya kuingia uvunguni.
Godoro 5*6 QFL-Dodoma
Unene ni inches 8.
Vipo Pugu kajiungeni Dar es Salaam.
Bei 300,000TZS.( kuna mazungumzo).
Vitu vimetumika kwa miezi minne tu
Sababu ya kuuza: Mwenye navyo amehama mkoa hivyo hataweza kuvisafirisha kwenda mkoa maana ni mbali sana.
Mawasiliano: PM
Hicho ni ft 5 mkuu na simply huwezi kusema ni ft ngapi kwa kuangalia hiyo picha hapo, cha kuzingatia niamini hicho ni ft 5*6 nilikinunua mwenyewe naww ukininunua utaona ni size gani
Kukutumia mkoani siwezi labda kama una jamaa yako achukue akutumie