Gharama za ujenzi kwa mkoa wa arusha..

Gharama za ujenzi kwa mkoa wa arusha..

Nicklas

New Member
Joined
Mar 20, 2016
Posts
4
Reaction score
1
Maeneo kati ya moshono na morombo nyumba yenye kuhitaji sebule,dinning,kitcheni na vyumba viwili master pamoja na public toilet moja..
 
Moshono viwanja 30*25 Sio chini ya milion 35-45

Gharama za ujenzi inategemea na ukubwa halisi wa nyumba yako ukitaka ushauri sema nikupe
 
Moshono viwanja 30*25 Sio chini ya milion 35-45

Gharama za ujenzi inategemea na ukubwa halisi wa nyumba yako ukitaka ushauri sema nikupe
Hajakuuliza bei ya kiwanja

Ameomba ushauri wa gharama za ujenzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom