Nenda twitange sengerema hostel itakua bei nafuu
Huyo mwanafunzi anategemea kusoma combination gani? na ni jinsia gani?
Kama vipi mpeleke Feza ada 4.5m kwa day na 7. m for boarding.
Hakuna namna.
Wakuu habari niaje!
Naomba msaada kwa wenye shule binafsi au wanaozijua gharama za kujiunga na kidato cha tano kwa shule binafsi
Wakuu habari niaje!
Naomba msaada kwa wenye shule binafsi au wanaozijua gharama za kujiunga na kidato cha tano kwa shule binafsi
Mkuu wanafundisha fresh eh?
Kama ni sayansi kwa ukanda wa ziwa hasa Mwanza sioni shule nzuri aisee.
Anyway fuatilia Taqwa na Thaqaafa.
Marian Boys/Girls, Fedha Boys /Girls, Loyola high School, Shaban Robert, Mzizima, Alpha High School, Tusiime,St. Anthony. We unataka ipi kati ya hizo ila hakikisha upo vizuri kifedha na akili kichwani maana hawapendi mambumbumbu kwenye hizi shule.
Hizo shule ndio zileziileee
Kwani mtoa mada anataka uzuri wa majengo au parfomance.?
Naomba unijuze hii Alpha high school fee zake kwa o-level kama unafahamu
Kama 3.5M