Gharama za kuapply Ordinary Diploma

G-stev

Member
Joined
Aug 24, 2020
Posts
18
Reaction score
17
Wakuu, naomba msaada, eti ukitaka kuapply Diploma kuna gharama yoyote nyingine zaidi ya kulipia ile elfu kumi kwa kila chuo utakachoomba?
 
Hakuna gharama wewe andaa pesa ya kuappy ila itategemea garama za vyuo nitofaut ktk kua apply ko ikiwa utaa apply vyuo zaidi ya kimoja basi gharama itabidi uongeze ila hakuna gharama nyingine ktk kuomba ordinary Diploma zaidi ya hizo
 
Hakuna gharama wewe andaa pesa ya kuappy ila itategemea garama za vyuo nitofaut ktk kua apply ko ikiwa utaa apply vyuo zaidi ya kimoja basi gharama itabidi uongeze ila hakuna gharama nyingine ktk kuomba ordinary Diploma zaidi ya hizo
Asante sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…