Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,028
- 59,657
...if that's the case,better if he resignChristian Wulff expected to announce resignation
German president to resign: Report
Hürriyet
Wulff is set to make an announcement at 11 a.m. German time (noon Turkish time).
The president has been entangled in several scandals over the last few months and is set to become the first head of state in the federal republic's history to lose his immunity.
Wulff has been in his position for roughly two years and took over the president's seat from Horst Köhler, who had also resigned.
Wulff is known to be disliked by conservatives for stating that "Islam, too, is now part of Germany without a doubt."
Resigning with dignity,sio hawa wa kwetu mpaka waundiwe tume.
Hata tume ikiwaona wana hatia hawajiuzuru hawa ni kama kupe. viongozi wangapi wana kashifa lakini umeona nani ametoka?
Habari zilizorushwa punde na CNN ni kwamba President Wulff of German amerisign kwa corruption scandle. Prosecutors wanaangalia namna ya kuondoa immunity ili ashitakiwe.
Somo kwetu watanzani kuwa haya mambo yanawezekana!
He??kulikoni?
Baada ya Rais wa Ujerumani kujiuzulu..SWALI LA MSINGI KWA WATANZANIA WOTE NA HUSUSANI WADAGANYIKA KKUMRADHI, NAMAANISHA WATANGANYIKA, KIKWETE ANAPASWA KUJIUZULU KWA KASHIFA GANI?
Tuweke kashifa au kama wanavyoziita wenyewe scandal ambazo mkuu huyu wa Tanzania anahusika nazo moja kwa moja, kisha mwenyewe apime na mwisho wa mwezi huu atakapo hutubia Taifa ama akanushe au achukue hatua.
Germany's President Christian Wulff resigns his largely ceremonial role amid a series of scandals.
Hapa kwetu kitu kama hiki ni adimu sana kutokea