Gazeti la KINGO limekufa!!?

lukindo

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2010
Posts
8,470
Reaction score
9,053
Wasalaam,

Kwa wale na hasa wapenda cartoon waliokuwa wakisoma gazeti la Kingo nawaombeni kunijuza juu ya kinachoendelea na gazeti hilo.

Nimejaribu kufuatilia kama linaendelea kutoka lakini sijapata majibu yoyote na ninakumbuka ni jinsi gani gazeti hili lilivyokuwa likiwakilisha kazi nzuri kupitia michoro.

Au waandaaji walitiwa msukosuko?

Tafadhali anayefahamu anajuze!

Nashukuru
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…