Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Kwani African Lyon ni timu ya Ulaya?
Soma kichwa cha habari kinasema Del Pierro ajuta kuitamani Lyon hapo unaposoma kichwa cha habari utategemea kuwa mshambuliaji nguli wa juventus ya Italia Alessandro Del Pierro anatamani kujiunga na Lyon ya Ufaransa lakini kumbe ni habari ya kibongo...
Sasa kama timu yetu ya Bongo ina jina hilohilo la Lyon, Mhariri angeiitaje? na huyo kocjha jina lake (la utani) ni hilohilo, sasa Mhariri afanyeje? labda ungependekeza kichwa cha habari kingekuwaje...
Sidhani kama maneno haya yote yangetosha kwenye nafasi ile ya headlineKocha John William "Del Pierro" aitamani African Lyon
Waandishi wengine utakuta wanaandika mambo binafsi ya familia ya mtu wanayemzungumzia. Mfano, utakuta mwandishi anaandika: "Akizungumza na gazeti hili, Papic ambaye ni baba wa watoto wawili, Todor na Natasa alisema ...". Sasa hao watoto wanahusianaje na wasomaji wa habari za michezo?
Waandishi wengine utakuta wanaandika mambo binafsi ya familia ya mtu wanayemzungumzia. Mfano, utakuta mwandishi anaandika: "Akizungumza na gazeti hili, Papic ambaye ni baba wa watoto wawili, Todor na Natasa alisema ...". Sasa hao watoto wanahusianaje na wasomaji wa habari za michezo?
Ila uandishi huu hata ulaya upo na kwenye blogs nimeuona sanaaWaandishi wengine utakuta wanaandika mambo binafsi ya familia ya mtu wanayemzungumzia. Mfano, utakuta mwandishi anaandika: "Akizungumza na gazeti hili, Papic ambaye ni baba wa watoto wawili, Todor na Natasa alisema ...". Sasa hao watoto wanahusianaje na wasomaji wa habari za michezo?
Ila uandishi huu hata ulaya upo na kwenye blogs nimeuona sanaa
Soma kichwa cha habari kinasema Del Pierro ajuta kuitamani Lyon hapo unaposoma kichwa cha habari utategemea kuwa mshambuliaji nguli wa juventus ya Italia Alessandro Del Pierro anatamani kujiunga na Lyon ya Ufaransa lakini kumbe ni habari ya kibongo...
Waandishi wengine utakuta wanaandika mambo binafsi ya familia ya mtu wanayemzungumzia. Mfano, utakuta mwandishi anaandika: "Akizungumza na gazeti hili, Papic ambaye ni baba wa watoto wawili, Todor na Natasa alisema ...". Sasa hao watoto wanahusianaje na wasomaji wa habari za michezo?