Gaza: Mwanajeshi wa Israel aliuawa

Gaza: Mwanajeshi wa Israel aliuawa

Status
Not open for further replies.

Casuist

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2014
Posts
1,189
Reaction score
2,971
Jeshi la Israel limesema kuwa mmoja wa wanajeshi wake ambaye aliaminika kutekwa na wapiganaji wa kipalestina ameuawa katika eneo la Gaza.

Jeshi la Israel limesema kuwa Hadar Goldin aliuawa wakati wa mashambulizi ya Israel katika eneo la Gaza.
Israel ilikuwa imeishtumu Hamas kwa kumteka mwanajeshi huyo ,ambapo wapiganaji hao walikana madai hayo.
Waziri mkuu nchni Israel Benjamin Netanyahu amesema kuwa Israel itaendeleza oparesheni zake katika eneo la Gaza hadi pale usalama wa raia wa Israel utakapoimarika.

Hamas imesema kuwa itaendelea kupigana hadi pale itakapoafikia lengo lake.
Kundi hilo linataka kuhakikishiwa kuwa Israel na Misri zitafungua kizuizi cha mpakani cha miaka 7 kilichowekwa katka eneo la Gaza.

140802235020_hodar_goldin_israel_soldier_304x171_reuters.jpg


Hodar Goldin mwanajeshi wa Israel aliyeuawa

CHANZO: BBC

Mwanajeshi wa Israel aliyepotea, ameuwawa

Jeshi la Israel leo(03.08.2014) limetangaza kifo cha Hadar Goldin, mwanajeshi ambaye alipotea katika ukanda wa Gaza siku mbili zilizopita, huku hali ya umwagaji damu ikiendelea bila kuwa na matumaini ya kufikia mwisho.

0,,17828378_303,00.jpg

Luteni Hadar Goldin aliyeuwawa katika mapambano Gaza

Tume maalum inayoongozwa na mkuu wa masuala ya kidini wa jeshi hilo, rabbi , amesema luteni Goldin ameuwawa katika mapambano katika ukanda wa Gaza siku ya Ijumaa, jeshi la Israel limesema katika taarifa. Msemaji wa jeshi amekataa kusema iwapo mwili wa mwanajeshi huyo umepatikana ama la.
Upande wa Israel hapo kabla ulionesha hisia kuwa mwanajeshi huyo mwenye umri wa miaka 23 Goldin amekamatwa mateka na wapiganaji wa Hamas katika ukanda wa Gaza, na kutoa nafasi finyu ya kuwapo makubaliano ya muda mrefu ya kusitisha mapigano katika mzozo huo uliosababisha umwagikaji mkubwa wa damu.

Uchukuaji mateka unaonekana na Israel kuwa ni kama kuiweka nchi hiyo rehani.
Tawi la kijeshi la Hamas , la Ezzedine al-Qassam, limekiri kuwa wapiganaji wake wamefanya shambulio la kushitukiza mapema siku ya Ijumaa ambapo wanajeshi wawili wa Israel wameuwawa, lakini imekana kumshikilia Goldin.

CHANZO: DW
 
Acha auawe Kwani wao wanawauwa wapalestine wangapi?
 
Israel wins ndo maana waarabu hawaendi wasaidia waarabu wenzao
 
The leader of Hamas lives in Qatar as he vows they will fight on. Hamas shoots rockets into Israel for months before this Israeli invasion and then they weep when" innocent " die .These are the same people that voted this brutal terrorist organization into power after Israel returned the Gaza back to the Palestinians.600,000 thousand tons of cement used to build tunnels presumably from day one given the vastness of the tunnel system.

NO INTENTION Of PEACE. What is remarkable is the deafening silence from the rest of the Arab world. Japan attacked Pearl Harbor and five years later US dropped to Atomic Bombs on Japan. That is how America dealt with being attacked. In short muslim violence is responsible for 99% of all the misery and b
loodshed worldwide. Just in Syria alone 170k killed -muslim on muslim genocide.

Some gullible don't know much about Israel or how they gained their independence or how the Jewish people have been oppressed for thousands of years. condemning Israel, someone must at least present facts, not conspiracy theories.But up to now truth still prevailing. Israel has the right to defend itself from terrorists attach
 
Acha auawe Kwani wao wanawauwa wapalestine wangapi?
Tena uzuri wa waIsrael wanajua wazi kama wakisha kufa wanaenda motoni, sa bora akajue kuwa kama ataongea kiarabu badala ya kiyahudi wao wanadhani maiti wataikimbia, na Mungu kisha sema hata wawe wapi ikifa siku yao hawana ujanja :cool2:
 
Kumbe hamas walikuwa wa kweli walisema " hawajakamata mateka askari yeyote wa israeli hizo ni propaganda zao za kutaka kuua watoto kwa kisingizio cha kumtafuta" walisema wanaamini ameuwawa katika mapambano. Waisraeli njooni huku mfungue makanisa wapo watu wanawaita watoto wateule wa mungu mje mkusanye kuliko tra.
 
Kumbe hamas walikuwa wa kweli walisema " hawajakamata mateka askari yeyote wa israeli hizo ni propaganda zao za kutaka kuua watoto kwa kisingizio cha kumtafuta" walisema wanaamini ameuwawa katika mapambano. Waisraeli njooni huku mfungue makanisa wapo watu wanawaita watoto wateule wa mungu mje mkusanye kuliko tra.
Israel siku zote hawasemi ukweli, kama wanavyo wapoteza watu duniani wao ni Taifa la Mungu na wajinga wakamini, siku zote mtu alisha itwa kondoo aliye potea unategemea nini tena.
 
Tena uzuri wa waIsrael wanajua wazi kama wakisha kufa wanaenda motoni, sa bora akajue kuwa kama ataongea kiarabu badala ya kiyahudi wao wanadhani maiti wataikimbia, na Mungu kisha sema hata wawe wapi ikifa siku yao hawana ujanja :cool2:
What's the point..ya'll hate dying knowing virgin sluts waiting for you uh?
 
Waarabu koko utawajua tu kwa maneno yao ya kashfa kwa wengine.
Israel siku zote hawasemi ukweli, kama wanavyo wapoteza watu duniani wao ni Taifa la Mungu na wajinga wakamini, siku zote mtu alisha itwa kondoo aliye potea unategemea nini tena.
 
Nyie wakristo na mayahudi msahau kama mtaiona pepo, mnamfananisha Mungu na binadamu, yani hapo ndio Mungu hatasamehe kabisa, nyie pepo yenu ni hapa tu duniani:cool2:
Kwenye pepo unayoizungumzia hapo kuna kitu gani cha kufanya ionewe shauku na hao unaowashutumu?
 
Waarabu koko utawajua tu kwa maneno yao ya kashfa kwa wengine.
We hata useme nini huwezi kubadilisha asili yangu, poleni sana naona mnakimbia, sijawahi kuona taifa la Mungu likawakimbia taifa la shetani:A S wink:
 
Kwenye pepo unayoizungumzia hapo kuna kitu gani cha kufanya ionewe shauku na hao unaowashutumu?
Poleni sana kama mnaota mtaiona ndoto, nyie mnamuabudu binadamu si Mungu, afu bibilia yenu inasema Mungu wenu alizaliwa kwenye zizi la Ngo'mbe yani hata wewe unathamani kuliko Mungu wa wakristo, hivi Bibilia zenu ni vichaa ndio waliziandika:cool2:
 
Safi sana askari wa israel kuuliwa pia dawa ya hawa makafir.i ni kuwaua tuu wanaogopa sana kifo
 
Walifikiri wanaenda picnic mishenzi walolaaniwa.
Wamedunguliwa karibu 79 na hasira ya nyetanyau ni kufanya uhalifu wa kivita kuua watoto na kuvunja makaaza ya watu...
 
Akiuwawa Israel mmoja ni habari, kila siku wanakufa mamia ya watoto wa Palestina inaonekana jambo la kawaida.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom