Duh! Dinho alimfanya kitu mbaya captain Dunga! dah wacha amwekee bifu ila brazil wanavijana wengi tu wazuri wanaochezea ligi ya nyumbani.Wakina dinho wana exposure ya kuchezea ligi mbalimbali za duniani inabidi Capt Dunga aangalie hilo swala..ukongwe dawa kwenye WC