Nahitaji kukodi gari zifuatazo kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale ndani ya jiji la Dar es Salaam.
Yoyote mwenye moja kati ya hizi au zote kwa pamoja naomba aipost gari hapa tujadili au anicheki kupitia +255627315218 niione gari, kisha tu jadili gharama na maandikishano.
NB: Gari iwe katika hali nzuri, yaani iwe "Roadworthy".
Kitu sikipendi bongo unalipa hela unaambiwa unapewa na dereva yaani kila unachofanya mtu ajue hapana aisee, fungeni GPS tu inatosha sana kufuatlia gari lako ila niache mteja nifurahie