Gari mazda mpv 2000 inauzwa

Gari mazda mpv 2000 inauzwa

rabiintocavel

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2013
Posts
294
Reaction score
233
iko katika hali nzuri,piga simu 0767767600.bei nafuu sana mil 8.5
 

Attachments

  • 01w.jpg
    01w.jpg
    35.9 KB · Views: 176
  • Photo-0417.jpg
    Photo-0417.jpg
    79.6 KB · Views: 196
  • Photo-0426.jpg
    Photo-0426.jpg
    88.2 KB · Views: 177
  • 05.jpg
    05.jpg
    30 KB · Views: 158
  • 06.jpg
    06.jpg
    24.5 KB · Views: 159
mkuu bei inatakiwa kuwa wazi ili tupime kina cha maji hapa hapa
 
iko katika hali nzuri,piga simu 0767767600.bei nafuu sana m 10
 
Hivi Mazda wanasema huwa zina matatizo gani tena? Maana nishasahau kidogo. Hebu wenye kujua wanifahamishe kabla sijafanya maamuzi.
 
Endelea kutembea na miguu mpaka gari zenye chuma cha pua zitakapotengenezwa ambazo hazitakuwa na matatizo

Hivi Mazda wanasema huwa zina matatizo gani tena? Maana nishasahau kidogo. Hebu wenye kujua wanifahamishe kabla sijafanya maamuzi.
 
Endelea kutembea na miguu mpaka gari zenye chuma cha pua zitakapotengenezwa ambazo hazitakuwa na matatizo

Mkuu mbona unajaa povu namna hiyo, mi si nataka kujua tu matatizo yake na kama hujui si ni bora upite tu kimyakimya au ndo wewe nini unauza kwa ID nyingine
 
Mkuu mbona unajaa povu namna hiyo, mi si nataka kujua tu matatizo yake na kama hujui si ni bora upite tu kimyakimya au ndo wewe nini unauza kwa ID nyingine
Nimeitumia hiyo gari kwa muda wa mwaka mzima, sijawahi kupata tatizo lolote serious, Kuna siku ilioverheat nikaipeleka kwa mtaalam akatoa thermostat ndio sikufungua tena chochote. Ni gari moja nzuri sana kwa familia... Bora kuliko Hata noah... Nimeshaiuza na niliyemuuzia anaitumia mpaka leo na huu mi mwaka wake wa kwanza na nusu na yeye kamaliza.... All in all, gari ni matunzo tu.. hakikisha service, unaweka filter na oil za uhakika. kwenye mashimo unayaheshimu... Unaendesha kama inavyotakiwa... Hutokaa uhangaike na garages hata siku moja.
 
Aliyekwambia gari inatolewa thermostant ni nani, nakushauri irudishie kwakuwa unaua hiyo gari.
 
Aliyekwambia gari inatolewa thermostant ni nani, nakushauri irudishie kwakuwa unaua hiyo gari.
Nilishaiuza hiyo gari almost two years ago na niliyemuuzia haijawahi msumbua hata siku moja, ni mtu tunafahamiana na nilimwambia kabla ya kumuuzia. Sometimes what works in Bongo, does not work anywhere else...Huu ndio ufundi wetu wa kuchokonoa... Fundi kama hajui kitu anabadili system tu... simple... hahaha
NB: Kwa ninavyofahamu, thermostat kwenye magari yanayotumika nchi za joto kama zetu sio kitu muhimu kwa engine... Kwenye nchi za baridi ndio muhimu sana kwani wana temperature variation kubwa sana. Thermostat inasaidia kuheat up engine haraka wakati wa baridi na kuwasha heater kwenye gari.. so kwa Tz its fine
 
Mkuu mbona unajaa povu namna hiyo, mi si nataka kujua tu matatizo yake na kama hujui si ni bora upite tu kimyakimya au ndo wewe nini unauza kwa ID nyingine
we sema unsh ngapi details zote na makabidhiano ama muzo ntashughulikia
 
we sema unsh ngapi details zote na makabidhiano ama muzo ntashughulikia

we una id mbili wewe mods pigeni moka ya id lifeban maana anajaza server jf inaonekana ina member wengi kumbe mtu mmoja id 100
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom