Gari inauzwa TOYOTA PRIMIER

Gari inauzwa TOYOTA PRIMIER

Vodka

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
906
Reaction score
96
Toyota Primio inauzwa rangi silver(fedha), imetumika kwa mwaka mmoja,imetembea jumla km 13.7 (137322m) bei ni tsh 9.5 milioni wasiliana na mimi kwa PM au namba 0653942807.
 
Haya matangazo ya kienyeji ndio hayatakiwi...nani anajua hilo gari lako bila kuliona?!!
 
Mkuu unamaanisha Premio..au primier..kama utaweza rusha na picha basi..ila hizo kilometer nina wasiwasi nazo kama umeshalitumia almost one year ni vigumu kuwa 13Km..inamaana hizo ni kilometer ulizotumia wakati unalitoa pale bandarini na hujawahi kulitumia kwenye mizunguko yako!!
 
Mkuu unamaanisha Premio..au primier..kama utaweza rusha na picha basi..ila hizo kilometer nina wasiwasi nazo kama umeshalitumia almost one year ni vigumu kuwa 13Km..inamaana hizo ni kilometer ulizotumia wakati unalitoa pale bandarini na hujawahi kulitumia kwenye mizunguko yako!!
hiyohiyo imeshuka bandarini na km 1
 
Haya matangazo ya kienyeji ndio hayatakiwi...nani anajua hilo gari lako bila kuliona?!!

Huyu bwana ametoa namba yake ya simu kwa ajili ya mawasiliano aidha unaweza kutuma Private Message (PM); hii yote ni kwa ajili ya kufanya business kwa mtu anayehitaji gari tajwa. Wewe wasiwasi wako ni nini?
 
Mkuu unamaanisha Premio..au primier..kama utaweza rusha na picha basi..ila hizo kilometer nina wasiwasi nazo kama umeshalitumia almost one year ni vigumu kuwa 13Km..inamaana hizo ni kilometer ulizotumia wakati unalitoa pale bandarini na hujawahi kulitumia kwenye mizunguko yako!!
unatakankutuambia ww unaiski karibia na feri?
coz kama unaishi zaidi ya ubungo utakuwa utatuingiza mkenge
 
Jamani Jamani ndio maana chadema wanasema kipaumbele cha kwanza,cha pili na cha tatu ni elimu!! Wanafunzi wengi ni kina kayumba wamesoma shule za kata,mie nafikiri ana maanisha 137,322km na ilikuja ina 100,000km.
 
Hili ni tangazo ama mtihani inabidi watu wajaribu ku guess
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom