prince wilson
Member
- Jan 7, 2013
- 10
- 4
Hebu weka details za hii gari kuna mtu hapa anaihitajiGari hii inauzwa kwa tsh.milioni 12tu iko jijini dar es salaam kwa mawasiliano piga 0719 147503,0753 009325.
View attachment 79544View attachment 79547View attachment 79548
Gari hii inauzwa kwa tsh.milioni 12tu iko jijini dar es salaam kwa mawasiliano piga 0719 147503,0753 009325.
![]()
View attachment 79544View attachment 79547View attachment 79548
Vipi, gari bado ipo ?
Gari ni nzuri lakini ni very expensive.
acha uvivu,bemba mkonga wa simu umpigie si kaweka no zake hapo
Hii pia ni njia ya mawasiliano, tena ya uwazi kama ilivyo biashara yenyewe.
hauko serious mkuu,aya subiri mpaka ajiunge na extreme pack ndo aje akujibu