Ina uzito WA kg ngapi?
U mean ya chuma chakavu?
sababu ya kuuza boss kanunua gari nyingine jumla anazo tatu inabidi auze hii abaki na mbili kubwa unaweza kuiona mda wowote kwa kupiga simu hiyo
Mnauzaje magari online bila kuweka picha na bei?
Poa sana hata mimi nauza Nissan patrol ya Mwaka 2000 bei 30m Toyota Vitz 5 door namba BGW bei 5.5m Toyota Vitz 3Doors Bei 4.5m namba AZP Toyota Rav 4 Old Model Manual Gear 5 doors Namba A Bei 8M
Mkuu punguza kidogo hiyo Rav 4 upate mteja.
Natoa laki tatu njoo na 7.7m faster nipe mawasiliano yako najua hatutashindana muhimu uione Gari pia nina Suzuki Vitara 3doors nzima tatizo lake ni Starter na Road licence karibu miaka mitano haijalipiwa bei yake ni 3m tu
Picha basi mkuu
asante kwa mwaliko. mie mwenyewe nauza gari. nikupe tenda hiyo nini? nataka kuanza kutumia pikipiki
Picha si issue sana maana camera zinatoa picha nzuri sana kama unaweza njoo mitaa ya Serena Hotel uje kuiona kabisa