Gari aina ya Vitz inauzwa

Yimakatso

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
7,862
Reaction score
11,520
Gari ni mpya kama inavyo onekana kwenye picha.Bei 9.8 milion.maongezi yapo.
 
Ist itakuwa bei gani sasa?

Duc In Altum.
 
Vits mill 9? Au kwakuwa sijawah kuingia shop zaidi ya kununua mswaki?
 
Vits mill 9? Au kwakuwa sijawah kuingia shop zaidi ya kununua mswaki?
kwa soko la sasa mkuu..uki import inakimbilia 8 na ushee..show room ndo wanajikaza na hizo 9 mil mkuu
juzi juzi hapa nilikua napiga survey izi show room za kinondoni....
 
kwa soko la sasa mkuu..uki import inakimbilia 8 na ushee..show room ndo wanajikaza na hizo 9 mil mkuu
juzi juzi hapa nilikua napiga survey izi show room za kinondoni....
Duh!! Basi ntakomaa na verspa yangu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…