Lissu akirushwa live na TBC, kupatwa kwa upendo.
View attachment 3182428
Na mimi MKE wangu alitakaga HAKI SAWA na mimi,mpaka NDOA imevunjika 2021 manake mimi niligoma {usikute ni katabia ka UCCM} manake alikomaa kuliko TUNDU LISSU!!!,,,,yaani unaambiwa nilikuwa nikitoka kazini ananisachi mfukoni kuona nimebakiza chenji,,,kama zipo anachukua,,,alafu anavizia nimeishia usingizini,ananinusa mdomo,akikuta nanukia harufu ya BIA na KITI MOTO ananiasha kwa kibao,,,nikawa namuuliza shida ni nini?,,akaniambia pesa inabidi zigawiwe kwa baadhi ya ndugu,UKWENI na baadhi ndugu zake wanaosoma,,na mpaka kwa watoto wa dada yake walizalia nyumbani,,,dadadake,,,,nikichelewa kutoa pesa mshahara ukitoka,,,anatimba mpaka ofisini,,,,na wa vile bosi ni mwanamke,,,wanaungana unaambiwa,,,naminywa,,,mpaka posho zangu za safari na mafuta ya gari anapewa yeye!!!,,nilichemka,nikahama ile ofisi na yeye akkasepa mazima!!