Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,360
- 22,948
Gamondi kafanya rotation kwa sababu ya mechi na Medeama na wala hajaingia kwenye mfumo. Subiri tu uone baada ya mechi na Medeama. Anarudi kwenye timu yake kama kawa.Miguel Gamondi ni kocha mzuri sana Ana falsafa zake na mbinu zake, Majuzi mashabiki sisi na wadau hata wachambuzi wakalilia sana rotation, kwamba kwanini kila mechi acheze pacome? Aziz ki? Why?
Binafsi sikuwahi kusema kitu nilinyamaza tu , sababu nilijua wazi kocha huko mazoezini anaona madhaifu na ubora wa wachezaji wake kuliko sisi.
Ingawaje Leo tumeona rotation nzuri kitu ambacho ni afya kwa wachezaji na maendeleo yao.
Nashauri gamondi afanye anavyofanya na anavyoamini na sio kuingia kwenye mfumo wa mashabiki sisi na wachambuzi uchwara ..
Leo tumeona kumbe hata gift Fred nae ana uwezo pia!
Yanga bado tunahitaji tuingie sokoni kutafuta a complete striker..!
Mzize ni wa vipindi Leo anaamka vibaya na kesho anaamka vizuri..
Wasalaam..
Its Pancho
Kweli viungo wana impact kubwa sana kuliko mawinga japo inakuwa rahisi kuzuilika .Gamondi ni muumini mzuri sana wa rotation, rejea mechi alizocheza Yanga kabla ya kupoteza dhidi ya Ihefu, kila mchezaji alipata nafasi. Ila kocha anajua ni kipindi gani ni sahihi kufanya rotation. Rotation hufanywa kwa kuangalia aina ya mechi na aina ya mpinzani unayecheza nae na ratiba imekaaje. Yanga amecheza mechi ngumu back to back zaidi ya saba huna nafasi ya kufanya rotation katika mechi zenye presha na ngumu za klabu bingwa au zile dhidi ya Azam, Simba, Singida na Coastal.
Pamoja na watu kumkosoa kwanini hapendelei mawinga dhidi ya viungo, nadhani majibu leo tumeyapata baada ya Skudu na Moloko kuchezeshwa, hawa ndio wangeweza kucheza dhidi ya Al Ahly, Belouizdad au Medeama kweli au ndio watu waliona nini miguuni mwa hawa wachezaji? Gamond kakosa mmaliziaji tu wa uhakika basi.
KweliGamondi kafanya rotation kwa sababu ya mechi na Medeama na wala hajaingia kwenye mfumo. Subiri tu uone baada ya mechi na Medeama. Anarudi kwenye timu yake kama kawa.
Nakubaliana na weweGamondi ni muumini mzuri sana wa rotation, rejea mechi alizocheza Yanga kabla ya kupoteza dhidi ya Ihefu, kila mchezaji alipata nafasi. Ila kocha anajua ni kipindi gani ni sahihi kufanya rotation. Rotation hufanywa kwa kuangalia aina ya mechi na aina ya mpinzani unayecheza nae na ratiba imekaaje. Yanga amecheza mechi ngumu back to back zaidi ya saba huna nafasi ya kufanya rotation katika mechi zenye presha na ngumu za klabu bingwa au zile dhidi ya Azam, Simba, Singida na Coastal.
Pamoja na watu kumkosoa kwanini hapendelei mawinga dhidi ya viungo, nadhani majibu leo tumeyapata baada ya Skudu na Moloko kuchezeshwa, hawa ndio wangeweza kucheza dhidi ya Al Ahly, Belouizdad au Medeama kweli au ndio watu waliona nini miguuni mwa hawa wachezaji? Gamond kakosa mmaliziaji tu wa uhakika basi.
hajaingia kwenye mfumo wa mashabiki rotation ni lazima kufanyaMiguel Gamondi ni kocha mzuri sana Ana falsafa zake na mbinu zake, Majuzi mashabiki sisi na wadau hata wachambuzi wakalilia sana rotation, kwamba kwanini kila mechi acheze pacome? Aziz ki? Why?
Binafsi sikuwahi kusema kitu nilinyamaza tu , sababu nilijua wazi kocha huko mazoezini anaona madhaifu na ubora wa wachezaji wake kuliko sisi.
Ingawaje Leo tumeona rotation nzuri kitu ambacho ni afya kwa wachezaji na maendeleo yao.
Nashauri gamondi afanye anavyofanya na anavyoamini na sio kuingia kwenye mfumo wa mashabiki sisi na wachambuzi uchwara ..
Leo tumeona kumbe hata gift Fred nae ana uwezo pia!
Yanga bado tunahitaji tuingie sokoni kutafuta a complete striker..!
Mzize ni wa vipindi Leo anaamka vibaya na kesho anaamka vizuri..
Wasalaam..
Its Pancho
Kuna watu wanalazimisha ionekane hivyohajaingia kwenye mfumo wa mashabiki rotation ni lazima kufanya
Mzize kweli bado mahesabu yake hayajakamikikaMiguel Gamondi ni kocha mzuri sana Ana falsafa zake na mbinu zake, Majuzi mashabiki sisi na wadau hata wachambuzi wakalilia sana rotation, kwamba kwanini kila mechi acheze pacome? Aziz ki? Why?
Binafsi sikuwahi kusema kitu nilinyamaza tu , sababu nilijua wazi kocha huko mazoezini anaona madhaifu na ubora wa wachezaji wake kuliko sisi.
Ingawaje Leo tumeona rotation nzuri kitu ambacho ni afya kwa wachezaji na maendeleo yao.
Nashauri gamondi afanye anavyofanya na anavyoamini na sio kuingia kwenye mfumo wa mashabiki sisi na wachambuzi uchwara ..
Leo tumeona kumbe hata gift Fred nae ana uwezo pia!
Yanga bado tunahitaji tuingie sokoni kutafuta a complete striker..!
Mzize ni wa vipindi Leo anaamka vibaya na kesho anaamka vizuri..
Wasalaam..
Its Pancho
Tatizo mashabiki wa bongo wanajifanya wanajua kila kitu. Ni makocha, wachambuzi etc. Kwa kifupi ni jacks of all trade. Kocha ambaye ana vyeti vyake yuko na wachezaji muda mwingi mazoezini. Anajua nani ni majeruhi nani mvivu mazoezini, etc. Halafu anatoka kapuku mmoja huko ambaye hajawahi hata kugusa mpira anataka kumfundisha professional coach jinsi ya kupanga timu ? Kuangalia mpira kwake ni kwenye vibanda umiza. Timu ikicheza kwenye mji wake hata haendi kuangalia mechi ili angalau achangie timu yake anayodai anashabikia. Lakini yeye ndiyo wa kwanza kukosoa mbinu za kocha! Pathetic excuses of human beings!Miguel Gamondi ni kocha mzuri sana Ana falsafa zake na mbinu zake, Majuzi mashabiki sisi na wadau hata wachambuzi wakalilia sana rotation, kwamba kwanini kila mechi acheze pacome? Aziz ki? Why?
Binafsi sikuwahi kusema kitu nilinyamaza tu , sababu nilijua wazi kocha huko mazoezini anaona madhaifu na ubora wa wachezaji wake kuliko sisi.
Ingawaje Leo tumeona rotation nzuri kitu ambacho ni afya kwa wachezaji na maendeleo yao.
Nashauri gamondi afanye anavyofanya na anavyoamini na sio kuingia kwenye mfumo wa mashabiki sisi na wachambuzi uchwara ..
Leo tumeona kumbe hata gift Fred nae ana uwezo pia!
Yanga bado tunahitaji tuingie sokoni kutafuta a complete striker..!
Mzize ni wa vipindi Leo anaamka vibaya na kesho anaamka vizuri..
Wasalaam..
Its Pancho
Nje ya mada, Pacone mpira unamtii