Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,465
- 14,608
🚨💣 UPDATES 👇
➡️ Aliyekuwa Kocha wa Yanga Sc, Miguel Angel Gamondi 🇦🇷 amesaini mkataba wa mwaka mmoja na Singida Black Stars 🇹🇿
✅ Gamondi anatarajia kuja Tanzania baada ya wiki mbili tayari kwa kuiandaa Singida kwaajili ya mechi za awali za CAFCC.
➡️ Aliyekuwa Kocha wa Yanga Sc, Miguel Angel Gamondi 🇦🇷 amesaini mkataba wa mwaka mmoja na Singida Black Stars 🇹🇿
✅ Gamondi anatarajia kuja Tanzania baada ya wiki mbili tayari kwa kuiandaa Singida kwaajili ya mechi za awali za CAFCC.
