Game la bubble shooter linachochea mapenzi baina ya wenza

Game la bubble shooter linachochea mapenzi baina ya wenza

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
23,649
Reaction score
57,044
Kama sio mtu wa kuzurura Sana mitaani mida ya jioni na huwa unawahi kurudi nyumbani Basi unapokaa na mpenzi wako mida ya jioni kusindikiza usiku ebu jaribu kucheza kwa zamu wewe na mpenzi wako game linaitwa bubble shooter linapatikana playstore.

Chezeni kwa zamu stage moja mpaka nyingine ukishinda au ukikosa unampa mwenzako i swear utanishukuru baadaye kama unampenda mpenzi wako basi mapenzi yatarudi kama vile mpo katika uchumba kila kheri.

Screenshot_20220704-212006.jpg
 
😂😂😂, pengine upo sahihi , ila kwa upande wangu kuna hii link www.playok.com huko unaweza cheza draft online mbaya zaidi kuna group la wacheza draft online tz .

basi mimi klaikishafika saa tatu ni kucheza tu ilifika kipindi wife akaanza nihisi labda namichepuko nikamueleza akawa mgumu kuelewa nikwambaia basi anipe simu yake niwe natumia badala ya kwangu .

Hapo kidogo tukaanza kwenda sawa imefika stage kuna wakati naona na yeye anaingia anajaribu kucheza😂😂
 
It seems ni baba Bora katika familia yako na unapenda kufurahi na mwenza wako,
Siku zote watu huvitoa vilivyopo ndani ya mioyo yao,
If you're are a positive person you will always spread positivity.
I will take you advise.
 
Back
Top Bottom