Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Asiyesikia la mkuu daima uvujika guu.
Wapinzani tulimwambia sana Gambo kuwa siasa anazofanya za kufitinia watu ni mbaya sana maishani.
Kipindi kile Jiwe yupo madarakani Gambo alituona tunasumbuliwa na njaa tu.
Leo hii Jiwe hayupo uvccm na wenye madaraka yao ndani ya chama na serikalini wameanza kumwandama.
Ewe Gambo jiandae kabisa kurudi ivinza ukauze chumvi uliyo zoea maana siasa sasa haikufai.
Wapinzani tulimwambia sana Gambo kuwa siasa anazofanya za kufitinia watu ni mbaya sana maishani.
Kipindi kile Jiwe yupo madarakani Gambo alituona tunasumbuliwa na njaa tu.
Leo hii Jiwe hayupo uvccm na wenye madaraka yao ndani ya chama na serikalini wameanza kumwandama.
Ewe Gambo jiandae kabisa kurudi ivinza ukauze chumvi uliyo zoea maana siasa sasa haikufai.