Galaxy tab 10.1 ime-stuck: Msaada

Infopaedia

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2011
Posts
1,231
Reaction score
1,495
Nina Samsung galaxy tab 10.1, inawaka lakini ikifika kwenye logo 'SAMSUNG' ina-stuck hapo hapo. Nimejaribu ku-flash custom rom kwa kutumia Odin3 lakini ina-fail. Pia haiwezi hata kwenda kwenye hard reset. The only option unapata ni when unabonyeza power button + volume down kwa sekunde kama tano. Then inaenda kwenye option ya ku-download custom rom, lakini ndiyo hivyo ina-fail kama nilivyoeleza hapo juu. Naomba msaada wakuu. Kihistoria, nilishawahi kui-root. Nikaitumia kwa muda tu. Baadae nikaona inavamiwa sana na apps za ajabu ajabu zinaji-install easly. Nikaamuwa ku-flash custom rom, nikaweka nyingine. Imepiga mzigo for 2 years fresh tu. Lakini sasa ndiyo hivyo wakuu. Naomba msaada wenu wakuu. Asanteni.
 
Flash kwa official stockrom na sio custom rom.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…