M moocha014 Member Joined Mar 14, 2014 Posts 12 Reaction score 1 Mar 17, 2014 #1 Nauza simu aina ya Samsung S4 kwa bei nzuri kabisa Tshs 500,000/=. Simu ni mpya kabisa na zimetengenezwa Korea na unapata warranty ya mwaka mmoja. Zimebaki simu chache. SIII Tshs 300,000/=. Kama unahitaji ni PM faster. Nipo Dar, Nipigie 0653489335 View attachment 145427View attachment 145429 Kulia ni Galaxy S4 kubwa GT i9500 Chini ni Galaxy S4 mini na Galaxy SIII
Nauza simu aina ya Samsung S4 kwa bei nzuri kabisa Tshs 500,000/=. Simu ni mpya kabisa na zimetengenezwa Korea na unapata warranty ya mwaka mmoja. Zimebaki simu chache. SIII Tshs 300,000/=. Kama unahitaji ni PM faster. Nipo Dar, Nipigie 0653489335 View attachment 145427View attachment 145429 Kulia ni Galaxy S4 kubwa GT i9500 Chini ni Galaxy S4 mini na Galaxy SIII
M moocha014 Member Joined Mar 14, 2014 Posts 12 Reaction score 1 Mar 17, 2014 Thread starter #2 Simu za ukweli hizo, S4, S4 mini & S3 mini. Usipoteze muda, changamkia fursa hiyo!
K kajuka JF-Expert Member Joined May 9, 2013 Posts 606 Reaction score 233 Mar 17, 2014 #3 Upo wap, tunakupataje ww
Real tyner Member Joined Jan 13, 2014 Posts 28 Reaction score 2 Mar 17, 2014 #4 Mhh niilikuwa naitafuta dah
M moocha014 Member Joined Mar 14, 2014 Posts 12 Reaction score 1 Mar 17, 2014 Thread starter #5 kajuka said: Upo wap, tunakupataje ww Click to expand... Nipo Dar. Nipigie 0653489335
M moocha014 Member Joined Mar 14, 2014 Posts 12 Reaction score 1 Mar 17, 2014 Thread starter #6 Real tyner said: Mhh niilikuwa naitafuta dah Click to expand... Mkuu bei zake ni poa sana! You can't afford to miss one! Ziko chache sana...
Real tyner said: Mhh niilikuwa naitafuta dah Click to expand... Mkuu bei zake ni poa sana! You can't afford to miss one! Ziko chache sana...
Real tyner Member Joined Jan 13, 2014 Posts 28 Reaction score 2 Mar 17, 2014 #7 Hiyo Slll ndo aina gani
M Mr. madevu JF-Expert Member Joined Mar 2, 2013 Posts 432 Reaction score 75 Mar 17, 2014 #8 Aise mimi niko Arusha ntaipataje?
integral sign Senior Member Joined Jul 13, 2013 Posts 160 Reaction score 13 Mar 17, 2014 #9 Hata clone ni made in Korea. So kuwa specific ni clone au original? Kama ni zenyewe bei zake zipo chini sana.
Hata clone ni made in Korea. So kuwa specific ni clone au original? Kama ni zenyewe bei zake zipo chini sana.
M mfocbsjut JF-Expert Member Joined Oct 19, 2011 Posts 475 Reaction score 253 Mar 17, 2014 #10 integral sign said: Hata clone ni made in Korea. So kuwa specific ni clone au original? Kama ni zenyewe bei zake zipo chini sana. Click to expand... bila shaka hizi zitakuwa clone
integral sign said: Hata clone ni made in Korea. So kuwa specific ni clone au original? Kama ni zenyewe bei zake zipo chini sana. Click to expand... bila shaka hizi zitakuwa clone
K kajuka JF-Expert Member Joined May 9, 2013 Posts 606 Reaction score 233 Mar 17, 2014 #11 Sasa nipo Dom, ntaipataje kaka?
Prince Nadheem JF-Expert Member Joined Feb 25, 2012 Posts 1,265 Reaction score 1,092 Mar 18, 2014 #12 integral sign said: Hata clone ni made in Korea. So kuwa specific ni clone au original? Kama ni zenyewe bei zake zipo chini sana. Click to expand... samahani sana mkuu, naomba kuuliza ya kuwa hivi hata hizo clone kama ukirun imei namba zake itakubali? vipi upande wa score kwa kutumia antutu?
integral sign said: Hata clone ni made in Korea. So kuwa specific ni clone au original? Kama ni zenyewe bei zake zipo chini sana. Click to expand... samahani sana mkuu, naomba kuuliza ya kuwa hivi hata hizo clone kama ukirun imei namba zake itakubali? vipi upande wa score kwa kutumia antutu?
M moocha014 Member Joined Mar 14, 2014 Posts 12 Reaction score 1 Mar 18, 2014 Thread starter #13 Real tyner said: Hiyo Slll ndo aina gani Click to expand... Hii ni Samsung Galaxy S3 mini. Ni size ya kati kama S4 mini lakini ni ya third generation. Haina tofauti kubwa na S4.
Real tyner said: Hiyo Slll ndo aina gani Click to expand... Hii ni Samsung Galaxy S3 mini. Ni size ya kati kama S4 mini lakini ni ya third generation. Haina tofauti kubwa na S4.
M moocha014 Member Joined Mar 14, 2014 Posts 12 Reaction score 1 Mar 18, 2014 Thread starter #14 Mr. madevu said: Aise mimi niko Arusha ntaipataje? Click to expand... Du, Arusha itakuwa ngumu kidogo. Labda kama una ndugu dar akuchukulie. Ninauwezo wa kukutumia kwenye mabasi ya Kilimanjaro kama utaniamini!
Mr. madevu said: Aise mimi niko Arusha ntaipataje? Click to expand... Du, Arusha itakuwa ngumu kidogo. Labda kama una ndugu dar akuchukulie. Ninauwezo wa kukutumia kwenye mabasi ya Kilimanjaro kama utaniamini!
M moocha014 Member Joined Mar 14, 2014 Posts 12 Reaction score 1 Mar 18, 2014 Thread starter #15 integral sign said: Hata clone ni made in Korea. So kuwa specific ni clone au original? Kama ni zenyewe bei zake zipo chini sana. Click to expand... Clone hawatoi warranty mkuu!
integral sign said: Hata clone ni made in Korea. So kuwa specific ni clone au original? Kama ni zenyewe bei zake zipo chini sana. Click to expand... Clone hawatoi warranty mkuu!
Brown ad JF-Expert Member Joined Feb 3, 2012 Posts 345 Reaction score 205 Mar 18, 2014 #16 mkuu sijaelewa iyo s3 na s3mini bei sawa??
M moocha014 Member Joined Mar 14, 2014 Posts 12 Reaction score 1 Mar 18, 2014 Thread starter #17 integral sign said: Hata clone ni made in Korea. So kuwa specific ni clone au original? Kama ni zenyewe bei zake zipo chini sana. Click to expand... Clone hawatoi warranty mkuu!
integral sign said: Hata clone ni made in Korea. So kuwa specific ni clone au original? Kama ni zenyewe bei zake zipo chini sana. Click to expand... Clone hawatoi warranty mkuu!
M moocha014 Member Joined Mar 14, 2014 Posts 12 Reaction score 1 Mar 18, 2014 Thread starter #18 Brown ad said: mkuu sijaelewa iyo s3 na s3mini bei sawa?? Click to expand... S3 mini tu bei Tshs 300,000, ila hapa zimeniishia kwa sasa, S4 mini nazo zimekwisha. Zimebaki S4 kubwa, nazo zimebaki chache sana....
Brown ad said: mkuu sijaelewa iyo s3 na s3mini bei sawa?? Click to expand... S3 mini tu bei Tshs 300,000, ila hapa zimeniishia kwa sasa, S4 mini nazo zimekwisha. Zimebaki S4 kubwa, nazo zimebaki chache sana....
M Mr. madevu JF-Expert Member Joined Mar 2, 2013 Posts 432 Reaction score 75 Mar 18, 2014 #19 moocha014 said: Du, Arusha itakuwa ngumu kidogo. Labda kama una ndugu dar akuchukulie. Ninauwezo wa kukutumia kwenye mabasi ya Kilimanjaro kama utaniamini! Click to expand... Nitabidi ningoje next time ukileta mzgo mpya, nadhani ntakua na safari yakuja huko.
moocha014 said: Du, Arusha itakuwa ngumu kidogo. Labda kama una ndugu dar akuchukulie. Ninauwezo wa kukutumia kwenye mabasi ya Kilimanjaro kama utaniamini! Click to expand... Nitabidi ningoje next time ukileta mzgo mpya, nadhani ntakua na safari yakuja huko.
Inside10 JF-Expert Member Joined May 20, 2011 Posts 33,742 Reaction score 40,433 Mar 18, 2014 #20 moocha014 said: Clone hawatoi warranty mkuu! Click to expand... kwahio ni clone au original!!?? warranty sio ishu..
moocha014 said: Clone hawatoi warranty mkuu! Click to expand... kwahio ni clone au original!!?? warranty sio ishu..