mkuu unataka mpya na original au used? maana nimeingia samsung online qoute bei walioniambia iko tofauti kabisa wao wanasema ukiweka kwa hela zetu ni tsh 225000 warranty one year angalia usije ukachakachuliwa. anyway ni ushauri tu watu wanajua wanavyopata sim kwa bei rahisi, ila huwa siwaamini sana na ndio maana huwa nawagongea moja kwa moja wao,