Naona mchomi ameandika ktk x yake yeye ni mbunge wa chadema 2025- 2030 ili hali hajapitishwa hata chama ambacho ndio chenye mamlaka, au kuenguliwa na tume au kushindwa kabisa na ccm.
Bado siwaelewi
ukiona hivyo na kwa hizi sarakasi zao zote hapo ccm imeshawahaidi kitu ndio maana wanajiamini hivyo.. hawajali inaweza kuwa wamepewa ahadi hewa na ccm na hawa ndio vidampa wasiojali lolote litakalowakuta wengine hata kama wengine kufa na wafe tu au kuumia si kitu kwao ila wao ni lazima wapate ulaji,cheo na madaraka kwa gharama yoyote hata kwa damu za wengine zitamwagika na kamwe watu dizaini hii hawapo kwa ustawi wa nchi na taifa isipokuwa matumbo yao tu.!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.