G1 Phone Registration.

ZeMarcopolo

Platinum Member
Joined
May 11, 2008
Posts
14,279
Reaction score
7,690
Naomba msaada jinsi ya kusajiri simu aina ya G1 Google (iliyotolewa na Tmobile) nchini Tanzania. Wafanyakazi wa mitandao yote Bongo wamechemsha mpaka sasa na kuifanya simu iwe useless.
Natanguliza shukurani.
 
Naomba msaada jinsi ya kusajiri simu aina ya G1 Google (iliyotolewa na Tmobile) nchini Tanzania. Wafanyakazi wa mitandao yote Bongo wamechemsha mpaka sasa na kuifanya simu iwe useless.
Natanguliza shukurani.

what do you mean? mimi nilidhani unawza kuitumia ili mradi iwe unlocked.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…