Furaha ya kunguru vita vya panzi

Furaha ya kunguru vita vya panzi

Ngurubhe

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
1,840
Reaction score
1,049
Vuta nikuvute hii inayoendelea ndani ya vyma vya upinzani yaani kugombana na kutofautiana waowao ndani na nje ya vyama ni wazi na dhahiri kuwa CCM wamewekeza humo na wamewaweza wapinzani.

Najua kama harakati za CCM kuwarubuni wafuasi wa vyama vingine haijaanza leo ni tangu mfumo wa vyama vingi unaingia hapa Tanzania..sema sura yake imekuwa ukibadeika kulingana na ugumu wanaokutana nao.

Iwe Lipumba anatumika au kutotumika mjue kuwa mda mnaoutumia kujibishana,kukwaruzana mnawapa watawala wenu nafasi kubwa ya kujijenga na kutawala milele.

Kama kweli Lipumba anatumika,basi ajue yeye ni kama dekio,atatumika tu kwa wakati huu, wakati ccm inataka imutumie lakini majaji wakuu mwishoni ni wananchi.

Inawezekana kweli akafanikiwa japo kwa mda fulani kuzivuruga harakati za wapinzani lakini ipo siku wananchi watamhukumu kwa matendo yake.

USHAURI..
WAPINZANI TAMBUENI KUWA LIPUMBA YU KWA AJILI YA KUBOMOA NA SIMAMENI IMARA,Na huyu ni mmoj tu mnaemuona lakini wapo akina Lipumba wadogowadogo wengi sana mnakula nao,mnalala nao sema tu bado muda wa kuanza kuonesha makucha yao haujafika.Just hold on you, will soon witness this....

Mtangombanishwa sana then 2020 zitakuwa ndio points za CCM dhidi yenu kwa wananchi.Hamtakuwa na nafas ya kuzirekebisha wala kuzikataa tena.Kaaeni chini mmalize tofauti Zenu haraka ili muendleee kujenga vyama vyenu..ngoja ngoja .......

Kwa mtu yoyote mpenda mabadriko ya kweli Tambueni kuwa LIPUMBA ANATUMIKA,na wapo wengine wengi tu wanafanya kazi hio sema kimyakimya....take care you guys!!
 
ebu omba ubadilishiwe "title"

Sent from Bombadier Q400 using JamiiForums aeroplane app
 
Leo lipumba anajiona mjanja ila ipo siku atakalia kisu cha inch 15 kinaenda kuvuruga intestine zote mpaka anus.
anatia hasira sana huyu fala
 
Vuta nikuvute hii inayoendelea ndani ya vyma vya upinzani yaani kugombana na kutofautiana waowao ndani na nje ya vyama ni wazi na dhahiri kuwa CCM wamewekeza humo na wamewaweza wapinzani.

Najua kama harakati za CCM kuwarubuni wafuasi wa vyama vingine haijaanza leo ni tangu mfumo wa vyama vingi unaingia hapa Tanzania..sema sura yake imekuwa ukibadeika kulingana na ugumu wanaokutana nao.

Iwe Lipumba anatumika au kutotumika mjue kuwa mda mnaoutumia kujibishana,kukwaruzana mnawapa watawala wenu nafasi kubwa ya kujijenga na kutawala milele.

Kama kweli Lipumba anatumika,basi ajue yeye ni kama dekio,atatumika tu kwa wakati huu, wakati ccm inataka imutumie lakini majaji wakuu mwishoni ni wananchi.

Inawezekana kweli akafanikiwa japo kwa mda fulani kuzivuruga harakati za wapinzani lakini ipo siku wananchi watamhukumu kwa matendo yake.

USHAURI..
WAPINZANI TAMBUENI KUWA LIPUMBA YU KWA AJILI YA KUBOMOA NA SIMAMENI IMARA,Na huyu ni mmoj tu mnaemuona lakini wapo akina Lipumba wadogowadogo wengi sana mnakula nao,mnalala nao sema tu bado muda wa kuanza kuonesha makucha yao haujafika.Just hold on you, will soon witness this....

Mtangombanishwa sana then 2020 zitakuwa ndio points za CCM dhidi yenu kwa wananchi.Hamtakuwa na nafas ya kuzirekebisha wala kuzikataa tena.Kaaeni chini mmalize tofauti Zenu haraka ili muendleee kujenga vyama vyenu..ngoja ngoja .......

Kwa mtu yoyote mpenda mabadriko ya kweli Tambueni kuwa LIPUMBA ANATUMIKA,na wapo wengine wengi tu wanafanya kazi hio sema kimyakimya....take care you guys!!
Mada yako na ushauri unamalengo mazuri, ila hujapangilia vizuri, sababu hujawatendea haki wapinzani wa kweli. Wanao vuruga huko ni vibaraka na sio wapinzani wa kweli walio amua kujitoa kutetea wananchi. Na huwezi kukaa na kuongea na hao vibaraka zaidi utapoteza muda wako, muda ndio utawajaji.
 
Sahivi wanaandamana kwenda ulaya yawezekana ndo majimbo yao yalikohamia
 
Sahivi wanaandamana kwenda ulaya yawezekana ndo majimbo yao yalikohamia
Wanatutia aibu tu, hivi ni lini mwafrika atajua kuwa mzungu anatumia dini kutuibia?
 
Wewe frasturation zako peleka huko..hili jukwaa halitaki hasira..join act wazalendo today.
teh teh teh kama lugha haujui ni bora ukae kimya buku 7 wewe,frasturation ndio nini?
frasturation=frustration
 
teh teh teh kama lugha haujui ni bora ukae kimya buku 7 wewe,frasturation ndio nini?
frasturation=frustration
Cheap points,sasa wewe imekuchukua muda mpaka umeingia google,ili angalao uonekane bingwa spelling tehteh..
 
sawa me shosti ila kajaribu kumleta mama ako mzazi nimtoe bikra ya pili najua bikra ya kwanza imeshatolewa
Mama yangu wa nini? ninao madada najua hutawaweza shosti Harvey labda upigwe choki teh..teh.teh😀 na mimi nipo kwa msaada.teh
 
Back
Top Bottom