PreGE2025 Furaha Dominick amlipukia Askofu Gwajima: Hana uhalali wa kuongelea Utekaji, ni muongo na muhuni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
Mmiliki/Mkurugenzi wa Furaha Media na mwanasiasa Furaha Dominick, amemjia juu Askofu Josephat Gwajima kutokana na mkutano wake alioufanya na waandishi wa habari hivi karibuni huku akiongelea masuala mbalimbali yanayoendelea nchini ikiwamo sakata la utekaji

Pia, Soma: Askofu Gwajima: Wakuu wa Vyombo vya Usalama wasiondolewe kwenye nafasi zao kwa mapenzi ya mwanasiasa aliyewaweka

Furaha amesema hayo Mei 27, 2025 akiwa Makao Makuu ya ofisi za Furaha Media mkoani Dar es Salaam katika mkutano wake na waandishi wa habari.

"Gwajima alivyoona upepo wa Magufuli mgumu akapunguza kasi akamshawishi mzee akaaminika, hamjui nimekaa na Gwajima zaidi ya mara 20 na nilivyokuwa nasema huyu ni muongo na ni muhuni Watanzania hawakunielewa, tunajua historia yake, hana uhalali wa kuongea ajenda yoyote kwa wananchi, hakuna mtu anafurahia masuala ya utekaji lakini Gwajima hana uhalali wa kuongelea ajenda hiyo ", amesema.

Your browser is not able to display this video.
 
Pamoja na yote gwajima ana hoja ya msingi, yeyote anayemkosoa Gwajima atoe majibu namna ya kuzuia utekaji nchini kwetu.Sisi ni watanzania kwanza kabla ya yotee
 
Hakuna anayekuelewa Brother. Tunaomba na hii TCRA waifungie maama mizania imeegemea upande mmoja
 
Huyu naye kama dish limeyumba! Mjomba wako ndo alikukata sio Gwajima acha upumbavu! Kuongea kwenyewe hujui!
 
Mpumbvu ana deal na character ya mtu badala ya hoja zake. Pangua hoja zeke kwanza.
 
Kumbe utekaji kwa hawa jamaa wa kijani ni ibada.Maana ukisema utekaji wanachachamaa mno.Yaani hapa ndio utajua kuna watu na viatu walah,kumbe utekaji kwao wanaona ni jambo jema du!!
pessimistic people
Watu wanao furahiwa watu wengine wadhurike na wasiwe na furaha
 
Kama hufurahii agenda ya utekaji kwa nini umlaani anayeyakemea?

Kwa hiyo walamba matraaco akina Tarimba, Muro na wengineo wapumbafu walivyoshindwa kujenga majibu ya hoja hii kwa namna walivyojifedhehesha umeona hawatoshi, nawe umeona kuwa liwalo na liwe, umeamua kuunga bodi hivyo hivyo ilimradi uonekane!

Mbona mchawi umechelewa msibani sasa?

Idiot.
 
Mpaka hapo naona matusi tunayotukanwa na Wakenya ni sahihi.
 
Hivi hawa tukiamua kuwatembezea mboko itakuwaje
Haka kapumbavu mpaka kalikuwa kwenye ile timu ya PSU ya Jiwe sasa unajiuliza kama mtu kaingia katika kitengo nyeti sababu ya nepotism je wangapi waliingia kwa mgongo huo huo?

Halafu kana hii kesi sasa sijui ndio kako blackmailed ili kaje kamshambulie Gwajima ili kaonekane kapo upande wa Kizimkazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…