jf user
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 777
- 622
Kw aumri ulionao sasa ni kipi umejifunza hapa duniani?
Mimi nimejifunza machache.
1/Dunia tunapita yani tuna muda mfupi sana hapa duniani! Many have gone real but tunalala tunaamka kesho inakua historia.
2/Ni vyema kuwekeza mbinguni kwani hya yadunia tutayaacha na wengine watachuma hata hawatafanikiwa kutumia waliyochuma.
3/Epuka dhambe tenda wema. Unaweza jisifu umefanya hujuma au dhambi Fulani lakini aadae utakuaja kuilipia so ukiwa mjanja tenda mema na utakua huru maisha yako yote na utabarikiwa Zaidi. The world is all about balance "Upimacho ndicho upimiwacho".
4/Kama wema ulivyo mtaji dhambi huzaa mauti.
Mimi nimejifunza machache.
1/Dunia tunapita yani tuna muda mfupi sana hapa duniani! Many have gone real but tunalala tunaamka kesho inakua historia.
2/Ni vyema kuwekeza mbinguni kwani hya yadunia tutayaacha na wengine watachuma hata hawatafanikiwa kutumia waliyochuma.
3/Epuka dhambe tenda wema. Unaweza jisifu umefanya hujuma au dhambi Fulani lakini aadae utakuaja kuilipia so ukiwa mjanja tenda mema na utakua huru maisha yako yote na utabarikiwa Zaidi. The world is all about balance "Upimacho ndicho upimiwacho".
4/Kama wema ulivyo mtaji dhambi huzaa mauti.