Funzo gani ulilopata katika maisha hadi sasa?

Funzo gani ulilopata katika maisha hadi sasa?

jf user

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2018
Posts
777
Reaction score
624
Kw aumri ulionao sasa ni kipi umejifunza hapa duniani?
Mimi nimejifunza machache.
1/Dunia tunapita yani tuna muda mfupi sana hapa duniani! Many have gone real but tunalala tunaamka kesho inakua historia.
2/Ni vyema kuwekeza mbinguni kwani hya yadunia tutayaacha na wengine watachuma hata hawatafanikiwa kutumia waliyochuma.
3/Epuka dhambe tenda wema. Unaweza jisifu umefanya hujuma au dhambi Fulani lakini aadae utakuaja kuilipia so ukiwa mjanja tenda mema na utakua huru maisha yako yote na utabarikiwa Zaidi. The world is all about balance "Upimacho ndicho upimiwacho".
4/Kama wema ulivyo mtaji dhambi huzaa mauti.
 
Nimejifunza kumbe cctv cameras sio za kuziamini kuna siku zikiamua hazioneshi vizuri
 
Naamini Tz pekee akatoka Taifa lake na kufanya ualifu nchini tena katika jiji kubwa Tanzania karibu na state house na asikamatwe
 
Nimejifunza ni muhimu sana kuwa mkweli na kujiamini katika mambo yangu
 
Back
Top Bottom