Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya zaida au funguo umepoteza tunafanya Programming kwa bei nafuu. Pia kama kasha la funguo limechakaa unahitaji kubadili wasiliana nasi
0714704097.
Email:info@wakudesahrt.com
Website:www.wakudesahrt.weebly.com
Kwa mfano funguo ya sensor kwa gar kama brevis kuprogram ni laki 3, ila unaweza kuta mtu alipo poteza funguo alichonga funguo ya kawaida ila gari halikuwaka so akampeleka fundi umeme wa magar akavuruga nyaya so ni kimpa bei hiyo.ntaprogram funguo lakin gar linaweza lisiwake it means hapo tena ina nibid nifanye kazi ya wiring.maana mtu ushamwambia kuprogram funguo ni laki 3 na gar litawaka
Unaona situation kama hizo huwez mpa mtu bei general,hapo lazima ufike kwenye gar iweke mashine ili ujue ina fault gani baada ya hapo ndo unaweza jua unaweza tatuaje na ukatoa gharama
Unaona situation kama hizo huwez mpa mtu bei general,hapo lazima ufike kwenye gar iweke mashine ili ujue ina fault gani baada ya hapo ndo unaweza jua unaweza tatuaje na ukatoa gharama