Funguo za magar za remote na sensor

Brainze11

Senior Member
Joined
Sep 2, 2012
Posts
173
Reaction score
56
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key).kwa magari aina zote yaani TOYOTA,VW,BMW,FORD nk. Kama unahitaji funguo ya zaida au funguo umepoteza tunafanya Programming kwa bei nafuu. Pia kama kasha la funguo limechakaa unahitaji kubadili wasiliana nasi
0714704097.
Email:info@wakudesahrt.com
Website:www.wakudesahrt.weebly.com
 

Gharama ya kutengeneza spare ya smart key (push to start) ni shilingi ngapi?
 
Gharama ya kutengeneza spare ya smart key (push to start) ni shilingi ngapi?

Wasiliana nasi kwenye namba yetu,ili utupatie details ya gari,ili tuweze jua inatumia smartkey aina gani
 
Kama bei ziko fixed ningeshauri uziweke tu hapa
 
Let say wana Jf 5M watake kujua bei wote tukuchek offline?

Gharama za kuprogram funguo zina tofautiana kulingana na situation ya gar,na pia ni muhimu nipate chasis number ya gar ili kujua ni sensor aina gan inahitajika ndo naweza toa bei maana kila gar inatumia sensor tofauti na gharama ni tofauti pia
 
Mkuu
Mkuu bado unaendelea na kazi hii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…