Fundi Wa Laptop(pc)

Fundi Wa Laptop(pc)

Emma Piano

Member
Joined
Jun 9, 2014
Posts
31
Reaction score
6
Wana jf nahitaji fundi mzuri anayeweza kunitengenezea laptop yangu aina ya toshiba,ilianguka chini ikazimika haijawaka tena.
 
Nenda pale posta mavuno house,floor ya kwanza kuna kijana mmoja ana ofc yake.anaitwa cheche,yupo.vizuri kama upo dsm mkuu.
 
Nenda pale posta mavuno house,floor ya kwanza kuna kijana mmoja ana ofc yake.anaitwa cheche,yupo.vizuri kama upo dsm mkuu.

Nipo dar ila nimetoka mbeya juzi mimi si mwenyeji sana dar,kwa hyo unaweza kunipa maelezo vizur mkuu.
 
Nenda pale posta mavuno house,floor ya kwanza kuna kijana mmoja ana ofc yake.anaitwa cheche,yupo.vizuri kama upo dsm mkuu.

Hebu elezea vizuri zaidi mtaa au karibia na jengo la karibu na hapo
 
Mavuno house ipo jengo la pili baada ya jengo la nmb house posta kama unaelekea kwa yule askari.
 
Back
Top Bottom