Fundi wa Computer (hardware)

Fundi wa Computer (hardware)

Enny

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
962
Reaction score
131
Habari wakuu, natafuta fundi wa Computer (PC) haiwaki.
 
wapo tele humu wewe jieleze vizuri watakupa njia ukajifanyie Self service au mtaelewana bei waje wakufanyie.
 
Habari wakuu, natafuta fundi wa Computer (PC) haiwaki.

umeshatatuliwa tatizo lako?kama bado jieleze vizuri unaweza kusaidiwa hapa hapa au fundi akafika kwako.unapoiwasha inaleta error msg gani au inatoa sauti gani au haiwaki kabisa?ni computer ya aina gani?na mambo ka hayo
 
umeshatatuliwa tatizo lako?kama bado jieleze vizuri unaweza kusaidiwa hapa hapa au fundi akafika kwako.unapoiwasha inaleta error msg gani au inatoa sauti gani au haiwaki kabisa?ni computer ya aina gani?na mambo ka hayo

Bado sijasaidiwa ni DELL.
nikiwasha haiwaki
 
kama nitaweza kupata msaada nitashukuru sana
 
Angalia vzur power cable may b hailet power kwny cpu au jarb kuchukua ya kwny monitor utest
 
Nimeshaangalia cable zote
 
Nimeshaangalia cable zote

ukiwasha haiwaki kabisa na haitoi sauti yoyote?unaweza kutoa mfuniko wa upande mmoja kuona kama power supply inaleta umeme kwenye motherboard?
 
mafundi wapo tele humu mpaka mafundi chokonoa wamo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom