Tazizo la computer ni km linavyoonekana kwenye picha, nimebadili hard disk, ram, screen tatizo bado liko palepale, hiyo mistari inakuja na kupotea wakati mwingne inajizima na kujiwasha. na kuna wakati nikiizima kuja kuwasha inagoma kuwa kwa kawaida inawakia kwenye safe mode. mataalam ani PM tafadhali. computer yenyewe ni SONY VAIO VGN-FZ38M
kwa case ya hiyo mistari ni VGA lakini umesema inatatizo lingine la kuwaka na kuzima kuna mbo kadhaa ya kuangalia .ni vema kukutana na fundi moja kwamoja kuliko kutegemea maelezo ya hum jf
Tatizo linaweza kuwa sehemu mbili. 1. Video card inazinguwa 2. Connection ya hiyo cable ya kutoka motherboard to screen inaweza kuwa ishakata kwa ndani.